Yanga mkimuacha Mbuyu Twitte mtajuta sana

Sema tatizo mkataba tata kaka, lakini kusema eti ABAKI KWA AJILI GANI...... kwa mchezaji wa kiwango cha Twite siyo kweli. Nyie kaeni naye then kaeni na hao Lupopo mkataba ulegezwe masharti Twite aendelee kucheza Yanga
 
Sema tatizo mkataba tata kaka, lakini kusema eti ABAKI KWA AJILI GANI...... kwa mchezaji wa kiwango cha Twite siyo kweli. Nyie kaeni naye then kaeni na hao Lupopo mkataba ulegezwe masharti Twite aendelee kucheza Yanga
Hivi anajua Twite amecheza mechi ngapi msimu huu?
 
Shukrani watani kwa kuamua kuupokea ushauri wangu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…