Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
NakaziaNamungo alishindwa tu kuhitimisha, Yanga NI yakawaida Sana.
Kwani Yanga ameshinda goli ngapi...?Ile bahati ya kukutana na timu dhaifu na kuzifunga magoli mengi basi mkaanza kuota viburi. Sasa ligi ndio imeanza rasmi. Na huko hatua ya makundi hakuna timu kama Zalan. Yaani maji mtaita “mma” endeleeni kuchonga sasaView attachment 2771852View attachment 2771855
Usimalize akiba yako maneno.....Ile bahati ya kukutana na timu dhaifu na kuzifunga magoli mengi basi mkaanza kuota viburi. Sasa ligi ndio imeanza rasmi. Na huko hatua ya makundi hakuna timu kama Zalan. Yaani maji mtaita “mma” endeleeni kuchonga sasaView attachment 2771852View attachment 2771855
Yanga bado hajacheza hayo ni matokeo ya msimu uliyopita!😄😄Ile bahati ya kukutana na timu dhaifu na kuzifunga magoli mengi basi mkaanza kuota viburi. Sasa ligi ndio imeanza rasmi. Na huko hatua ya makundi hakuna timu kama Zalan. Yaani maji mtaita “mma” endeleeni kuchonga sasaView attachment 2771852View attachment 2771855
Kabla ya leo hakuna shabiki yoyote wa Yanga ambae angelitambua hili, nashukuru kwa kilichotokea viburi vitaisha sasa.Hakuna timu isofunywa juzi . Manchester city.
Bingwa wa UEFA kafungwa na Wolves .
Mpira uko hivo