cnjona
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 1,027
- 239
Kwanini mmetumia.hela nyingi alafu mnamweka mtu bench achezi..kwanini.mzinunue.pesa hizo.wachezaji.wazuri wa ndani
Hui ujinga msirudie tena pls
kuna kavumbagu, chidebele, balou, na kipa wa simba agban.. hawajacheza , hawa sio wa kigeni?.