Yanga mlipeni hela zake Aucho na muache janja janja

Yanga mlipeni hela zake Aucho na muache janja janja

Mkuu nilikuwa nakuheshimu kumbe nawewe wale wale wakosefu wa akili za kufikiria. Katika mechi tano zilizochezwa, Aucho kakosa mechi moja tu dhidi ya Ruvu. Ni hakucheza kwavile alikuwa hakuwa na utimamu wa mwili. Na mechi ya leo Aucho hatokuwa sehemu ya kikosi kutokana na majeraha aliyoyapata wakati akichezea timu yake ya Uganda. Yaani unaandika kama vile Aucho ni roboti hawezi kuumia.

Mchezaji kacheza mechi kibao kakosa mechi mbili tu mnasambaza uzushi. Wachezaji wote walipwe ndio Aucho pekee ndio asilipwe
Hata usiponiheshimu haisadiii, chamsingi dawa ya deni ni kulipa
 
Yaani Aucho akiwa timu ya taifa ni mzima na anacheza tena kuna muda anavaa hadi kitambaa cha Unahodha.

Akiwa Yanga utasikia, Aucho anaumwa hivyo atakosa mechi kadhaa[emoji23][emoji23]

Waambieni ukweli mashabiki wenu, kwanini hamtaki kumlipa Sheikh Aucho? Kupost video instagram na kusema anaumwa bila kumuonesha sura yake [emoji23][emoji23][emoji23]huo ni Utopolo mwingine!!

Njooni mniue sasa kwamaana nshawaambia ukweli wenu, tukutane baadae Ilulu
Kwahiyo Mugalu, Bwalya nao wanaidai simba???
 
Yaani Aucho akiwa timu ya taifa ni mzima na anacheza tena kuna muda anavaa hadi kitambaa cha Unahodha.

Akiwa Yanga utasikia, Aucho anaumwa hivyo atakosa mechi kadhaa😂😂

Waambieni ukweli mashabiki wenu, kwanini hamtaki kumlipa Sheikh Aucho? Kupost video instagram na kusema anaumwa bila kumuonesha sura yake 😂😂😂huo ni Utopolo mwingine!!

Njooni mniue sasa kwamaana nshawaambia ukweli wenu, tukutane baadae Ilulu
Bado hawajamlipaaa ?
 
Yaani Aucho akiwa timu ya taifa ni mzima na anacheza tena kuna muda anavaa hadi kitambaa cha Unahodha.

Akiwa Yanga utasikia, Aucho anaumwa hivyo atakosa mechi kadhaa😂😂

Waambieni ukweli mashabiki wenu, kwanini hamtaki kumlipa Sheikh Aucho? Kupost video instagram na kusema anaumwa bila kumuonesha sura yake 😂😂😂huo ni Utopolo mwingine!!

Njooni mniue sasa kwamaana nshawaambia ukweli wenu, tukutane baadae Ilulu
Nyie ile milioni 110 mlishalipa?
 
Itakuwaje mchezaj aumie akiwa yanga au aliumia mazoez ya yanga
 
Back
Top Bottom