Yanga mlipeni hela zake Aucho na muache janja janja

Nyani Fc mnamshambulia bure mtoa mada, mechi ya mwisho ya uganda alicheza na mali na huyo aucho alicheza dk zote 90 pasipo kutoka haya tuambieni aliumia wapi

 
Wamlipe stahiki zake awatumikie,club zetu ziache janja janja.
 
Taarifa zako siku hizi zimekaa kimbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ