Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Na hiyo ndo maana halisi ya jina lao la utopwinyoSio mimi niliyewapangia Mamelodi, mnanituka bure, matusi mnayonitukana yawarudie wazazi wenu wote na familia zenu, watukaneni CAF.
Nyie mnasema mna uwezo wa kuikabili timu yoyote, vipi leo mnalalamikia draw, makamu Rais wenu anasema sio vzr Simba na Yanga kushangilia wageni, leo yamekuwa hayo?
Mlitaka chai wenyewe ss mnalalamika nn mnapoungua, bumbavu.
Bro lunch umegonga lakini? Naona unahangaika na Yanga sana.Sio mimi niliyewapangia Mamelodi, mnanituka bure, matusi mnayonitukana yawarudie wazazi wenu wote na familia zenu, watukaneni CAF.
Nyie mnasema mna uwezo wa kuikabili timu yoyote, vipi leo mnalalamikia draw, makamu Rais wenu anasema sio vzr Simba na Yanga kushangilia wageni, leo yamekuwa hayo?
Mlitaka chai wenyewe ss mnalalamika nn mnapoungua, bumbavu.
Hizi story za hivi nazisoma na kuzisikia kwenye mitandao ya watanzania pekee.Sio mimi niliyewapangia Mamelodi, mnanituka bure, matusi mnayonitukana yawarudie wazazi wenu wote na familia zenu, watukaneni CAF.
Nyie mnasema mna uwezo wa kuikabili timu yoyote, vipi leo mnalalamikia draw, makamu Rais wenu anasema sio vzr Simba na Yanga kushangilia wageni, leo yamekuwa hayo?
Mlitaka chai wenyewe ss mnalalamika nn mnapoungua, bumbavu.
Then anasema anatukanwa hapa ndio nashangaa hakuna shabiki wa Yanga ambae anafungua nyuzi ya kuogopa hapa ila mibumbumbu ndio kila baada ya dk ishirini ina mwaga nyuzi za ki mbumbumbu.Bro lunch umegonga lakini? Naona unahangaika na Yanga sana.