Yanga mmepoteza fursa adimu ya kuipiku Simba kwenye ranking za CAF

Yanga mmepoteza fursa adimu ya kuipiku Simba kwenye ranking za CAF

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Leo tunaambiana ukweli.

Mlipoanza kutamba kuwa mnaenda kuipiku Simba kwenye rank za CAF mlituingiza kwenye kiwewe si mchezo. Hata kama mngeipiku tu kwa muda mfupi bado kelele zenu tunazijua.

Mnacheza nyumbani, mnashindwaje kupata goli 1 tu la kuwavusha? Embu acheni utani. Unashindwaje kupata goli 1 hata la kufosi? Mwaka huu Mamelodi siyo wakali, Al Ahly nao msimu huu hadi wanafungwa nyumbani kwao. Mimi nadhani kuna mamluki katika viongozi wenu, wanawaonjesha asali ili biashara zao ziende ila hawataki mje muipiku kimataifa Simba timu yao ya moyoni. Huu ulikuwa mwaka wenu aisee.

Mmeshindwa mwaka huu, ndo baaasi tena. Msimu huu Simba atakapofika amefika siwezi kugarantii atachukua ubingwa ila uwezekano ni mkubwa wa kuingia top 5 kwenye ranking. Hii ni rekodi ambayo haitafutika kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo. Kumbuka msimu ujao Simba itaendelea kuwa Pot 1 na nadhani mnajua maana yake.

Msimu ujao Simba inaweza kuamua kurudi huku huku Shirikisho ili kuendelea kuimarisha kwanza kikosi. Ikifika tena nusu fainali au fainali ya CAFCC najua haitatoka top 5 kwenye ranking. Hapo najua Yanga kwa kikosi chao hicho cha kina Andambwile na Mwamnyeto wakitoboa makundi yatakuwa maajabu. Baada ya hapo Simba inarudi rasmi CAFCL ikiwa tayari na kosi imara la kupambana na wowote.

Sioni Yanga ikija kuifikia Simba kwenye ranking za CAF miaka ya hivi karibuni. Viongozi wenu wamewauza!
 
Leo tunaambiana ukweli.

Mlipoanza kutamba kuwa mnaenda kuipiku Simba kwenye rank za CAF mlituingiza kwenye kiwewe si mchezo. Hata kama mngeipiku tu kwa muda mfupi bado kelele zenu tunazijua.

Mnacheza nyumbani, mnashindwaje kupata goli 1 tu la kuwavusha? Embu acheni utani. Unashindwaje kupata goli 1 hata la kufosi? Mwaka huu Mamelodi siyo wakali, Al Ahly nao msimu huu hadi wanafungwa nyumbani kwao. Mimi nadhani kuna mamluki katika viongozi wenu, wanawaonjesha asali ili biashara zao ziende ila hawataki mje muipiku kimataifa Simba timu yao ya moyoni. Huu ulikuwa mwaka wenu aisee.

Mmeshindwa mwaka huu, ndo baaasi tena. Msimu huu Simba atakapofika amefika siwezi kugarantii atachukua ubingwa ila uwezekano ni mkubwa wa kuingia top 5 kwenye ranking. Hii ni rekodi ambayo haitafutika kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo. Kumbuka msimu ujao Simba itaendelea kuwa Pot 1 na nadhani mnajua maana yake.

Msimu ujao Simba inaweza kuamua kurudi huku huku Shirikisho ili kuendelea kuimarisha kwanza kikosi. Ikifika tena nusu fainali au fainali ya CAFCC najua haitatoka top 5 kwenye ranking. Hapo najua Yanga kwa kikosi chao hicho cha kina Andambwile na Mwamnyeto wakitoboa makundi yatakuwa maajabu. Baada ya hapo Simba inarudi rasmi CAFCL ikiwa tayari na kosi imara la kupambana na wowote.

Sioni Yanga ikija kuifikia Simba kwenye ranking za CAF miaka ya hivi karibuni. Viongozi wenu wamewauza!
Baada ya kuwafunga CAPCO ZIMEONGEZEKA POINTS NGAPI?
 
Leo tunaambiana ukweli.

Mlipoanza kutamba kuwa mnaenda kuipiku Simba kwenye rank za CAF mlituingiza kwenye kiwewe si mchezo. Hata kama mngeipiku tu kwa muda mfupi bado kelele zenu tunazijua.

Mnacheza nyumbani, mnashindwaje kupata goli 1 tu la kuwavusha? Embu acheni utani. Unashindwaje kupata goli 1 hata la kufosi? Mwaka huu Mamelodi siyo wakali, Al Ahly nao msimu huu hadi wanafungwa nyumbani kwao. Mimi nadhani kuna mamluki katika viongozi wenu, wanawaonjesha asali ili biashara zao ziende ila hawataki mje muipiku kimataifa Simba timu yao ya moyoni. Huu ulikuwa mwaka wenu aisee.

Mmeshindwa mwaka huu, ndo baaasi tena. Msimu huu Simba atakapofika amefika siwezi kugarantii atachukua ubingwa ila uwezekano ni mkubwa wa kuingia top 5 kwenye ranking. Hii ni rekodi ambayo haitafutika kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufanya hivyo. Kumbuka msimu ujao Simba itaendelea kuwa Pot 1 na nadhani mnajua maana yake.

Msimu ujao Simba inaweza kuamua kurudi huku huku Shirikisho ili kuendelea kuimarisha kwanza kikosi. Ikifika tena nusu fainali au fainali ya CAFCC najua haitatoka top 5 kwenye ranking. Hapo najua Yanga kwa kikosi chao hicho cha kina Andambwile na Mwamnyeto wakitoboa makundi yatakuwa maajabu. Baada ya hapo Simba inarudi rasmi CAFCL ikiwa tayari na kosi imara la kupambana na wowote.

Sioni Yanga ikija kuifikia Simba kwenye ranking za CAF miaka ya hivi karibuni. Viongozi wenu wamewauza!
Hawajapoteza jana tumemchapa Copco bao 5 Kombe la Shirikisho CRDB ngoja aje ngara23 akuelezee hapo points zimeongezekaje
 
Baada ya kupata takwimu za CAF tupe na za Dunia sasa. IFFHS
aisee hii nchi imejaa vilaza wengi sana, mpira katika level ya dunia FIFA ndiyo inatambulika. IFFHS ni kashirika binafsi ambalo hata FIFA hailitambui. anyway IFFHS mwaka 2024 ilitoa takwimu kwamba ligi kuu ya Brazil Brasileirao Serie A ndio ligi namba 1 duniani alaf EPL ya 29, hapo vipi wanaakili timamu au ni viazi kama mandondocha ya Eng. Hersi?
 
Back
Top Bottom