Yanga mmeshindwa kuutumia Uwanja wa Mkapa, mmeshindwa kupiga penati, sasa mnadai goli la kuotea

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
YANGA mnachotaka kufanya ni Ushamba wa SOKA. Kama mmeshindwa kuifunga MAMELODI Uwanja wa Nyumbani kwa Mkapa mlidhani ni rahisi kuwafunga kwenye Uwanja wao?

Kama kila timu ilipewa Penalti 5 mkashindwa kufunga zote 5 mkaambulia mbili mlitaka mshinde?

GOLI mnalolilalamikia Mfungaji wenu kabla ya kupiga mpira alikuwa OFFSIDE mlitaka REFA akubali kuwa GOLI?

Kubalini kushindwa.

Mmeshindwa kuutumia uwanja wa Mkapa.

Mmeshindwa kupiga Penalti mmeanza lawama.
 
Omba ukocha yanga basi, maana kocha aliyepo ndo uwezo wake, inaonekana wewe una uwezo zaidi
 
Njoo jangwani upewe kazi, uache kuandika upupu na kujaza server humu ndani
 
yanga alipewa penati 5???mechi gani hiyo yanga alipewa peanati au ndo mbumbumbu at work
 

1) Aliyekuwa offside ni mchezaji gani? Alihusika kwenye kuugusa huo mpira?
2) Yanga walijijua sio wazuri kwenye penati ndio maana wakapambana na wakapata goli ambalo kwa matokeo yalipasa kuwatoa moja kwa moja Mamelodi kwenye mashindano.
3) Mamelodi msimu uliopita alitolewa hapo hapo kwenye uwanja wao na kama alivyofanya jana Yanga kwa kufunga goli halali kabisa.
 
Wee nguruwe πŸ– unajua offside au kula makombo!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Simba mbumbu ni wengi Sana!! Ndio maana Ahmed Ally aliwalazimisha mmuombe msamaha Ayubu...
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]Yanga kumbe hawajui kupiga penalt ndio maana mnang'ang'ania Goli la OFFSIDE acheni ushamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…