Yanga mmeshindwa kuutumia Uwanja wa Mkapa, mmeshindwa kupiga penati, sasa mnadai goli la kuotea

Yanga mmeshindwa kuutumia Uwanja wa Mkapa, mmeshindwa kupiga penati, sasa mnadai goli la kuotea

Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Hauna hoja wewe
 
YANGA mnachotaka kufanya ni Ushamba wa SOKA. Kama mmeshindwa kuifunga MAMELODI Uwanja wa Nyumbani kwa Mkapa mlidhani ni rahisi kuwafunga kwenye Uwanja wao?

Kama kila timu ilipewa Penalti 5 mkashindwa kufunga zote 5 mkaambulia mbili mlitaka mshinde?

GOLI mnalolilalamikia Mfungaji wenu kabla ya kupiga mpira alikuwa OFFSIDE mlitaka REFA akubali kuwa GOLI?

Kubalini kushindwa.

Mmeshindwa kuutumia uwanja wa Mkapa.

Mmeshindwa kupiga Penalti mmeanza lawama.
kwa maelezo yako inaonekana hata mpira hukuangalia ila unaropoka kama wanawake wa baa wakiwashangilia wanaume waliokuja na magari ..
 
YANGA mnachotaka kufanya ni Ushamba wa SOKA. Kama mmeshindwa kuifunga MAMELODI Uwanja wa Nyumbani kwa Mkapa mlidhani ni rahisi kuwafunga kwenye Uwanja wao?

Kama kila timu ilipewa Penalti 5 mkashindwa kufunga zote 5 mkaambulia mbili mlitaka mshinde?

GOLI mnalolilalamikia Mfungaji wenu kabla ya kupiga mpira alikuwa OFFSIDE mlitaka REFA akubali kuwa GOLI?

Kubalini kushindwa.

Mmeshindwa kuutumia uwanja wa Mkapa.

Mmeshindwa kupiga Penalti mmeanza lawama.
Achana na Yanga wewe, Afrika imeona na Dunia imeshuhudia ubora wa Yanga.

Pambana na timu yako iliyoliwa mbele na nyuma na Mwarabu.

Mbumbumbu ndio timu pekee iliyoliwa home and away mumetia aibu taifa.
 
YANGA mnachotaka kufanya ni Ushamba wa SOKA. Kama mmeshindwa kuifunga MAMELODI Uwanja wa Nyumbani kwa Mkapa mlidhani ni rahisi kuwafunga kwenye Uwanja wao?

Kama kila timu ilipewa Penalti 5 mkashindwa kufunga zote 5 mkaambulia mbili mlitaka mshinde?

GOLI mnalolilalamikia Mfungaji wenu kabla ya kupiga mpira alikuwa OFFSIDE mlitaka REFA akubali kuwa GOLI?

Kubalini kushindwa.

Mmeshindwa kuutumia uwanja wa Mkapa.

Mmeshindwa kupiga Penalti mmeanza lawama.
Aggregate Al Ahaly 3 Simba 0.

Sasa wewe endelea kujitowa ufahamu tu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]Yanga kumbe hawajui kupiga penalt ndio maana mnang'ang'ania Goli la OFFSIDE acheni ushamba
Kama mwenzetu uliona ni offside basi ni wazi umetofautiana hadi na waamuzi na watu wote walioangalia mechi. Kwasababu ishu iliyopo ni mpira kuvuka mstari. Ila wewe unasema kuwa ni offside basi ni kihande uliopitiza kwenye mpira. Tafuta mchezo mwingine ushabikie
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Hakika
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom