Yanga mmetuonesha ubora wenu, nakubali hakuna timu inaweza kupishana na nyie uwanjani ikapona. Fitness na team work yenu ni ya viwango vya juu!

Yanga mmetuonesha ubora wenu, nakubali hakuna timu inaweza kupishana na nyie uwanjani ikapona. Fitness na team work yenu ni ya viwango vya juu!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Mechi ya jana imetuonyesha ubora wa Yanga kuanzia fitness level yao mpaka team work yao ni ya viwango vya juu sana!

Tumezoea team mojawapo inapokuwa pungufu kwa mchezaji Mmoja mara nyingi uwa inafanya sub za kulinda zaidi kwenye eneo lake ili kukabiliana na mpinzani husika lakini jana ilikuwa ni tofauti kwa mabingwa watetezi!
Kapungua beki tegemeo lakini Gamond akuwa na wasi wasi juu ya vijana wake na mfumo wake, badala yake aliingiza viungo washambuliaji!

Team imeperform kana kwamba yenyewe ndio imekamilika badala ya Azam, wameshambulia na kutawala mchezo kwa swaga na umakini mdogo wa kibabage ndio uliowanusuru Azam wasisawazishiwe goli, team Bora kama Azam waliona isiwe tabu Wacha wapoteze muda angalau kupunguza presha ya Yanga waliokuwa wanawasaka Azam kwa nguvu!

Kitu kama icho akiwezi kufanywa na timu yoyote ambayo aiko timamu kuanzia fitness level, team work na quality ya wachezaji husika!

Juzi tulishuhudia Arsenal wakipaki bus baada ya kadi nyekundu ili kulinda damage zaidi isiwapate sio jambo rahisi kwa mtu anayefahamu Mpira vizuri, unaweza kukandwa za kutosha ukaenda kusimulia wajukuu Tena

Unapocheza na timu Bora kama Azam, lakini vijana wa Gamond wameonyesha sio timu ya mpeche mpeche wamekamilika mpaka wengine wanaanza kusema wapimwe inawezekana wanatumia madawa🤣🤣
Ubora wa timu unapimwa kwa vitu vingi sana ikiwemo utimamu wa miili ya wachezaji!

Yanga kacheza Arusha kasafiri baada ya siku tatu kacheza Zanzibar mechi ngumu zote hizo, katoka Zanzibar karudi dar kapumzika siku mbili ya tatu kacheza na Azam na kaonyesha Ile performance sio jambo la kitoto!

Na kama isingekuwa kadi ya bacca Azam alikuwa anakufa vizuri tu lilikuwa ni suala la muda tu!

Soma Pia: FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Kwa maana iyo nawapongeza vijana timu ya kutetea ubingwa kwa mara ya nne mfululizo ipo wanayo spirit ya hali ya juu kabisa ya ushindi ndio tabia ya timu kubwa yenye malengo!
 
FB_IMG_17305796534182647.jpg
 
Mechi ya jana imetuonyesha ubora wa Yanga kuanzia fitness level yao mpaka team work yao ni ya viwango vya juu sana!

Tumezoea team mojawapo inapokuwa pungufu kwa mchezaji Mmoja mara nyingi uwa inafanya sub za kulinda zaidi kwenye eneo lake ili kukabiliana na mpinzani husika lakini jana ilikuwa ni tofauti kwa mabingwa watetezi!
Kapungua beki tegemeo lakini Gamond akuwa na wasi wasi juu ya vijana wake na mfumo wake, badala yake aliingiza viungo washambuliaji!

Team imeperform kana kwamba yenyewe ndio imekamilika badala ya Azam, wameshambulia na kutawala mchezo kwa swaga na umakini mdogo wa kibabage ndio uliowanusuru Azam wasisawazishiwe goli, team Bora kama Azam waliona isiwe tabu Wacha wapoteze muda angalau kupunguza presha ya Yanga waliokuwa wanawasaka Azam kwa nguvu!

Kitu kama icho akiwezi kufanywa na timu yoyote ambayo aiko timamu kuanzia fitness level, team work na quality ya wachezaji husika!

Juzi tulishuhudia Arsenal wakipaki bus baada ya kadi nyekundu ili kulinda damage zaidi isiwapate sio jambo rahisi kwa mtu anayefahamu Mpira vizuri, unaweza kukandwa za kutosha ukaenda kusimulia wajukuu Tena

Unapocheza na timu Bora kama Azam, lakini vijana wa Gamond wameonyesha sio timu ya mpeche mpeche wamekamilika mpaka wengine wanaanza kusema wapimwe inawezekana wanatumia madawa🤣🤣
Ubora wa timu unapimwa kwa vitu vingi sana ikiwemo utimamu wa miili ya wachezaji!

Yanga kacheza Arusha kasafiri baada ya siku tatu kacheza Zanzibar mechi ngumu zote hizo, katoka Zanzibar karudi dar kapumzika siku mbili ya tatu kacheza na Azam na kaonyesha Ile performance sio jambo la kitoto!

Na kama isingekuwa kadi ya bacca Azam alikuwa anakufa vizuri tu lilikuwa ni suala la muda tu!

Kwa maana iyo nawapongeza vijana timu ya kutetea ubingwa kwa mara ya nne mfululizo ipo wanayo spirit ya hali ya juu kabisa ya ushindi ndio tabia ya timu kubwa yenye malengo!
Umenikumbusha kuhusu kupimwa mkojo, enzi zileee
 
Makolo watakwambia wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Awana akili Mpira ni sayansi waende tff Kuna sanduku la maoni ili wao wakawapime hizo dawa, Yanga kacheza michuano mikubwa ya caf fainali ya shirikisho yenye Kila aina ya umakini na robo fainali klabu bingwa Ina maana wao awakuona kama yanga anatumia madawa? Wanajitekenya na kucheka wenyewe achana nao wajinga hao!
 
Makolo watakwambia wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kuongeza nguvu.
Si tunawaacha muendelee kutafuta maneno ya kujifariji kwasababu ndio option iliyobaki ku regain happiness yenu.

Mpira wote tuliangalia na wote tunaweza kutafsiri kilichotokea.

Hizi skanka za kwamba sijui eti mlikuwa mnapambana sana baada ya kuwa pungufu ni upimbi tu.

Kwasababu dakika 10 za mwanzo kabla ya red card wote tuliona namna ambavyo Azam wali dominate game. Tena mkiwa mmetima.

Sasa jiulize why kipindi ambacho timu imetimia ilikuwa imezidiwa possesion?

Nani asiyejua kuwa timu ambayo inazuia huwa inazidiwa umiliki na mpinzani? Hili nalo lilihitaji insha kuelezea?

Hapo kama una ubongo ulio active utapata jawabu kuwa mabadiliko ya mbinu kwa Azam ndio yaliyowapa advantage ya kutawala mpira.

Azam wamekuja kupoteza umiliki ni baada ya kupata bao la kuongoza.

Maana yake from there Azam waka change game plan kutoka kushambulia na kuanza kulinda walichokipata.

Na ndio maana pamoja na huo umiliki ambao Yanga alikuwa nao lakini bado 1st half iliisha mkiwa hamna on target hata moja.

Maana yake all the time mlikuwa mnafanya marathon zisizo na madhara na kujichosha tu kumfurahisha boss wenu aone na nyie mmepambana.
 
Awana akili Mpira ni sayansi waende tff Kuna sanduku la maoni ili wao wakawapime hizo dawa, Yanga kacheza michuano mikubwa ya caf fainali ya shirikisho yenye Kila aina ya umakini na robo fainali klabu bingwa Ina maana wao awakuona kama yanga anatumia madawa? Wanajitekenya na kucheka wenyewe achana nao wajinga hao!
Shirikisho umekutana na nani?

Hilo ndio swali la msingi unatakiwa ujiulize.

Unaweza ukawa ni kweli umeshinda pambano. Ukawa unajitapa mtaani.

Usiishie tu kusema wewe ni mshindi wa hilo pambano. Tutajie na huyo mpinzani tujue status yake ili tupime upinzani uliokutana nao.
 
Si tunawaacha muendelee kutafuta maneno ya kujifariji kwasababu ndio option iliyobaki ku regain happiness yenu.

Mpira wote tuliangalia na wote tunaweza kutafsiri kilichotokea.

Hizi skanka za kwamba sijui eti mlikuwa mnapambana sana baada ya kuwa pungufu ni upimbi tu.

Kwasababu dakika 10 za mwanzo kabla ya red card wote tuliona namna ambavyo Azam wali dominate game. Tena mkiwa mmetima.

Sasa jiulize why kipindi ambacho timu imetimia ilikuwa imezidiwa possesion?

Nani asiyejua kuwa timu ambayo inazuia huwa inazidiwa umiliki na mpinzani? Hili nalo lilihitaji insha kuelezea?

Hapo kama una ubongo ulio active utapata jawabu kuwa mabadiliko ya mbinu kwa Azam ndio yaliyowapa advantage ya kutawala mpira.

Azam wamekuja kupoteza umiliki ni baada ya kupata bao la kuongoza.

Maana yake from there Azam waka change game plan kutoka kushambulia na kuanza kulinda walichokipata.

Na ndio maana pamoja na huo umiliki ambao Yanga alikuwa nao lakini bado 1st half iliisha mkiwa hamna on target hata moja.

Maana yake all the time mlikuwa mnafanya marathon zisizo na madhara na kujichosha tu kumfurahisha boss wenu aone na nyie mmepambana.
Kolo kwenye ubora wako.

Unalazimisha furaha kupitia jirani.

Wewe na timu lako mnalosema mmnalijenga na halina muunganiko yamewashinda kazi kumtegemea timu za wanaume wenzenu ziwape furaha.

Mimi hata nkifungwa na Azam kumi haina shida.

Shida yangu ni wewe kolowizard wazee wa matambiko hatarishi.

Ntahakikisha nakukanda mpaka uame kabisa JF mana uwa nikikukanda unakimbia kabisa JF.
 
Tumezoea team mojawapo inapokuwa pungufu kwa mchezaji Mmoja mara nyingi uwa inafanya sub za kulinda zaidi kwenye eneo lake ili kukabiliana na mpinzani husika
Tumezoea kuona timu ikiwa na wachezaji pungufu inapoteza mechi, na ndicho kilichotokea. By the way, kuwa pungufu hakukuja kwa bahati mbaya, kulitokana na mchezaji wao kuamua kuzuia kwa faulo goli lililokuwa linaenda kuingia, maana yake timu ilizidiwa mbinu ikacheza faulo
 
Yanga standard waliyo set msimu huu ni kucheza fainali na kutwaa Ubingwa wa CAF champion league.
Kwa apa bongo tutabeba Makombe mpaka tuchoke wenyewe.
 
Yanga standard waliyo set msimu huu ni kucheza fainali na kutwaa Ubingwa wa CAF champion league.
Kwa apa bongo tutabeba Makombe mpaka tuchoke wenyewe.
Mnacheza fainali na kutwaa huo ubingwa mkiwa na mwiko wenu nyuma au mmeuchomoa?
 
Shirikisho umekutana na nani?

Hilo ndio swali la msingi unatakiwa ujiulize.

Unaweza ukawa ni kweli umeshinda pambano. Ukawa unajitapa mtaani.

Usiishie tu kusema wewe ni mshindi wa hilo pambano. Tutajie na huyo mpinzani tujue status yake ili tupime upinzani uliokutana nao.
Wewe unayo timu ya kumzuia yanga tuanzie hapo kwanza kabla atujaamia kwa majirani
 
Nyie mpk mje mpimwe mkojo...ndo akili zitawakaa sawa...
Mkojo wa yanga ni kocha Bora walienae wa viungo na fitness kwa maana iyo unakiri mwenyewe indirect kwamba Yuko vizuri hizo nyingine ni mbwembwebna wivu wa kike kike unawasumbua!
 
Si tunawaacha muendelee kutafuta maneno ya kujifariji kwasababu ndio option iliyobaki ku regain happiness yenu.

Mpira wote tuliangalia na wote tunaweza kutafsiri kilichotokea.

Hizi skanka za kwamba sijui eti mlikuwa mnapambana sana baada ya kuwa pungufu ni upimbi tu.

Kwasababu dakika 10 za mwanzo kabla ya red card wote tuliona namna ambavyo Azam wali dominate game. Tena mkiwa mmetima.

Sasa jiulize why kipindi ambacho timu imetimia ilikuwa imezidiwa possesion?

Nani asiyejua kuwa timu ambayo inazuia huwa inazidiwa umiliki na mpinzani? Hili nalo lilihitaji insha kuelezea?

Hapo kama una ubongo ulio active utapata jawabu kuwa mabadiliko ya mbinu kwa Azam ndio yaliyowapa advantage ya kutawala mpira.

Azam wamekuja kupoteza umiliki ni baada ya kupata bao la kuongoza.

Maana yake from there Azam waka change game plan kutoka kushambulia na kuanza kulinda walichokipata.

Na ndio maana pamoja na huo umiliki ambao Yanga alikuwa nao lakini bado 1st half iliisha mkiwa hamna on target hata moja.

Maana yake all the time mlikuwa mnafanya marathon zisizo na madhara na kujichosha tu kumfurahisha boss wenu aone na nyie mmepambana.
Unalinda ulichokipata dhidi ya timu pungufu? Ok wamelinda walichokipata ni vipi kama wangecheza na timu kama yako wangelinda walichokipata mkiwa pungufu? Kama unayo akili inayochaji vizuri utakuwa umenielewa swali langu, ni kwamba wamelazimishwa kufanya vile na timu Bora ambayo ata kama ni pungufu Ina uwezo wa kukufunga wewe uliyekamilika, kama Azam angekuwa anacheza na Simba ama Namungo asingethubutu kulinda alichokipata angewapelekea moto mwanzo mwisho kwakuwa anawamudu na angejua anaweza kupata magoli mengine zaidi!
Ubora wa yanga uliwalazimisha warudi nyuma na kupoteza muda vitu kama ivyo ni nadra sana kuviona vikifanyika kwa timu yoyote Ile kwamba umekamilika na unajilinda alafu aliye pungufu ndio anakupelekea moto kwa akili ya kawaida inahitaji uwe mbumbumbu kuelewa kitu kama icho!
 
Mmeliwa

Mmepigwa kidude

Mmelambishwa lolo

Mmechumishwa mchicha.

Kaeni kwa kutulia.
 
Back
Top Bottom