Yanga mmetuonesha ubora wenu, nakubali hakuna timu inaweza kupishana na nyie uwanjani ikapona. Fitness na team work yenu ni ya viwango vya juu!


Hapa ni wapi 😂😂🤣😅
 
Mfano wako sijui ulikumbuka kucompare na ile mechi na JKT au umebase kwenye mechi na Azam tu

Kwenye ile mechi na JKT baada ya mchezaji wao kutolewa kwa red mliwafunga goli 20 na ngapi mkuu, au na nyie hamkuwa bora kama Azam na Gamond tuseme hamna kocha?
 
Simba ni wa yanga
Mmeliwa

Mmepigwa kidude

Mmelambishwa lolo

Mmechumishwa mchicha.

Kaeni kwa kutulia.
Kama kolo tulivyo MLA maranne mfululizo,tumewapiga kidude,tumewalambisha Lolo,tumewachumusha mchicha,nyie na wazee wenu make kwa kutulia
 
Hajakosea jkt walivyo para refi kadi walitoa mshambuliaji wakaingiza beki Ili wasifungwe zaidi na walifanikiwa plani Yao kwa yanga hawakutoa mshambuliaji Ili kujihami.
 
Simba ni wa yanga

Kama kolo tulivyo MLA maranne mfululizo,tumewapiga kidude,tumewalambisha Lolo,tumewachumusha mchicha,nyie na wazee wenu make kwa kutulia
Mmeliwa.


Mmepigwa kidude.

Mmelambishwa lolo.

Mmechumishwa mchicha.

Mmepakatwa.

Mmepapaswa.

Mmenajisiwa.

Mmebakwa.

Mmelawitiwa.

Mmekalishwa.

Mmepigwa pipe.

Mmeshikishwa ukuta.

Mmechinjwa.

Mmebondwa.

Mmechakazwa.

Mmegaragazwa.

Mmepakwa mafuta.

Mmepididiwa.

Mmesokomezwa likijiti.

Silaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa........kwani we huogopi?
 
Shule ni muhimu sana na inatakiwa uwe mwepesi kuelewa hoja ya msingi usiwe na kichwa kizito kuchanganua mambo, Jkt alikuwa pungufu je uliona anafunguka kumkabili yanga aliyekamilika? Jkt alifanya tactical switch ya kuimarisha eneo lake la ulinzi baada ya kupungua ndio maana walikuwa wanakabia low block, walikuwa wanacheza wachezaji zaidi ya 8 kwenye eneo lao sasa unawezaje kuifungua defence ya wachezaji 8 na kupata magoli zaidi? Je walifunguka kumshambulia yanga? Kama uko vizuri kichwani utakuwa umenielewa!
 
Timu inyoongoza kwa kuwachezea rafu wachezaji pinzani Tanzania
 
Jamaa linajiona limeandika strong points lenyewe😂😂😂 kumbe utumbo tu
 
Huna tu kumbukumbu

Mimi nilikuwa pungufu kwa wachezaji wawili nikiwa naongozwa bao moja na bado mechi iliisha nikiwa mimi nimeshinda.

Na sio mara moja
 
Mkojo wa yanga ni kocha Bora walienae wa viungo na fitness kwa maana iyo unakiri mwenyewe indirect kwamba Yuko vizuri hizo nyingine ni mbwembwebna wivu wa kike kike unawasumbua!
Wee hayaaaa....
 
Yanga standard waliyo set msimu huu ni kucheza fainali na kutwaa Ubingwa wa CAF champion league.
Kwa apa bongo tutabeba Makombe mpaka tuchoke wenyewe.
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana
 
Huna tu kumbukumbu

Mimi nilikuwa pungufu kwa wachezaji wawili nikiwa naongozwa bao moja na bado mechi iliisha nikiwa mimi nimeshinda.

Na sio mara moja
Ulikuwa unaongozwa na nani? Na ni mechi Gani iyo ebu tutajie!
 
Mmeshindwa Nini kufunga goli?maana mda wote mlikuwa golini kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…