Sababu za Yanga kususia mchezo ni:
1. Bifu lao na TFF la muda- Morrison ,Mwakalebela na suala la marefa kuwabeba Simba.
2. Kuogopa kipigo.
3. Kuizuia Simba kutangaza ubingwa baada ya mechi.
4. Kumpa muda kocha wao mpya aendelee kukinoa kikosi kama mechi itarudiwa.
5. Simba kukosa kipato kwani wenyewe waliisha chukua chao mechi iliyopita.
6. Ahadi ya Hersi ingevunjika baada ya mchezo huo.
7. Kutompa aibu kocha wao mpya baada kipigo kitakatifu.
8. Walidhani kuwa maamuzi hayo yalishinikizwa na Simba.
Makosa Yaliyofanyoka:
- TFF ingevishirikisha vilabu vyote katika kufikia maamuzi na sio kuamua tu kubadilisha muda.
-Yanga wangetumia tu busara kucheza mchezo huo kwa muda huo.
Mwisho:
Madhara yaliyosababishwa na maamuzi hayo ni makubwa na mengi majawapo likiwa ni kuipa nchi yetu sifa mbaya.