Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Aibu sanani aibu wameajili rundo la makocha lakini bado wanaamini ushirikina kama kweli unafanya kazi mbona hawakuutumia Nigeria wakapigwa nje ndani.
Mmesahau nini nyie nyau fc?Habari wanajukwaa
Nikiwa kama mdau wa soka la nchi hii nasikitishwa sana na tabia isiyokoma ya Viongozi wa yanga kuamini ushirikina na vurugu za kuvunja mageti na kupita milango isiyoruhusiwa kama njia ya kupata ushindi team inapocheza
Najua Faini mnazopigwa ni ndogo sana kwenu ndio maana kila mara imekua ndio kawaida yenu tangu msimu uliopita hadi jana.
Badilikeni sana la Sivyo hata mkichukua kombe mtachukua mkiwa mmechoka sana hata nguvu ya kulinyenyua kombe hazitakuepo.
No Comfortable win at all,shame on u[emoji34]
Mna kikosi kizuri sana ila mmeshaathirika na punyeto ya kifikra,
Kati yaYanga na simba, ni timu gani ina lundo la makocha? Yanga ina makocha wawili ! Nabi na Msaidizi wake Kaze. Huku Mwinyi Zahera akipewa nafasi ya mtaalamu wa ufundi kwa timu ya vijana.ni aibu wameajili rundo la makocha lakini bado wanaamini ushirikina kama kweli unafanya kazi mbona hawakuutumia Nigeria wakapigwa nje ndani.
tatizo ni kwanini hamuwaamini makocha wenu kila siku mtakuwa mnapigwa faini ya kuendeleza vitendo vya ushirikinaKati yaYanga na simba, ni timu gani ina lundo la makocha? Yanga ina makocha wawili ! Nabi na Msaidizi wake Kaze. Huku Mwinyi Zahera akipewa nafasi ya mtaalamu wa ufundi kwa timu ya vijana.
Huku timu yako ya simba ikiwa na makocha watatu! Kocha Mkuu (sasa hapa sijui ni huyu Ngumbalu/Memkwa wenu Gomez, au yule Thierry Hitimana) na Msaidizi Suleiman Matola! Jumla watatu.
Kwani na nyinyi hamhusiki/hamjawahi kufanya hivyo vitendo vya kishirikina?tatizo ni kwanini hamuwaamini makocha wenu kila siku mtakuwa mnapigwa faini ya kuendeleza vitendo vya ushirikina
huko nyuma vilikuwa vinafanywa baadae washabiki na inawezekana bado wanafanya lakini sio kama upande wa pili hata akija mgeni atajua hii timu inaendeshwa kishirikina labda ndio maana wanigeria walishituka.Kwani na nyinyi hamhusiki/hamjawahi kufanya hivyo vitendo vya kishirikina?
Ni aibu viongozi, benchi la ufundi na wachezaji kukaa na kupanga kutopita geti rasmi.Maana yake klabu inakuwa imeweka ushahidi hadharani kuwa inaamini ushirikina. Ila kwa shabiki kushikilia nyau au kunguru hakuna ushahidi kuwa ushirikina anaofanya katumwa na klabu.Kwani shida nini au mayele ? Ni ushamba kuamini unaakili kubwa kumbe ni makolokolo tu.
Mechi na platnum yule paka alikiwa wa nini?
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
WordNi aibu viongozi, benchi la ufundi na wachezaji kukaa na kupanga kutopita geti rasmi.Maana yake klabu inakuwa imeweka ushahidi hadharani kuwa inaamini ushirikina. Ila kwa shabiki kushikilia nyau au kunguru hakuna ushahidi kuwa ushirikina anaofanya katumwa na klabu.
Huu ujinga sio kwa yanga tu, ni karibia timu zote tu za Tz, na hili wa kulaumiwa ni TFF, na bodi ya ligi tu ndio wanalea huo ujinga, kwa kuweka faini ndogo!!mfano wakiweka kanuni kuwa timu yoyote itakapoingia uwanjani kwa kutumia mlango/geti lisiloruhusiwa adhabu yake watapokonywa alama 3, na magoli matatu, unafikiria huo ujinga utaendelea?lakini kwasababu hao hao viongozi nao wanaamini huko huko ndio maana huu ujinga hauwezi kuisha.Habari wanajukwaa
Nikiwa kama mdau wa soka la nchi hii nasikitishwa sana na tabia isiyokoma ya Viongozi wa yanga kuamini ushirikina na vurugu za kuvunja mageti na kupita milango isiyoruhusiwa kama njia ya kupata ushindi team inapocheza
Najua Faini mnazopigwa ni ndogo sana kwenu ndio maana kila mara imekua ndio kawaida yenu tangu msimu uliopita hadi jana.
Badilikeni sana la Sivyo hata mkichukua kombe mtachukua mkiwa mmechoka sana hata nguvu ya kulinyenyua kombe hazitakuepo.
No Comfortable win at all,shame on u[emoji34]
Mna kikosi kizuri sana ila mmeshaathirika na punyeto ya kifikra,
Makolo Muli Bwanji KakaHabari wanajukwaa
Nikiwa kama mdau wa soka la nchi hii nasikitishwa sana na tabia isiyokoma ya Viongozi wa yanga kuamini ushirikina na vurugu za kuvunja mageti na kupita milango isiyoruhusiwa kama njia ya kupata ushindi team inapocheza
Najua Faini mnazopigwa ni ndogo sana kwenu ndio maana kila mara imekua ndio kawaida yenu tangu msimu uliopita hadi jana.
Badilikeni sana la Sivyo hata mkichukua kombe mtachukua mkiwa mmechoka sana hata nguvu ya kulinyenyua kombe hazitakuepo.
No Comfortable win at all,shame on u[emoji34]
Mna kikosi kizuri sana ila mmeshaathirika na punyeto ya kifikra,
Wewe nawe Utopolo hiyo kauli unaijua maana take, ovyoooo..Makolo muli bwanji babaa?
Taitu kalesa ndili muche makoloWewe nawe Utopolo hiyo kauli unaijua maana take, ovyoooo..
Unataka kukazwa?Taitu kalesa ndili muche makolo