Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wanajukwaa
Nikiwa kama mdau wa soka la nchi hii nasikitishwa sana na tabia isiyokoma ya Viongozi wa yanga kuamini ushirikina na vurugu za kuvunja mageti na kupita milango isiyoruhusiwa kama njia ya kupata ushindi team inapocheza
Najua Faini mnazopigwa ni ndogo sana kwenu ndio maana kila mara imekua ndio kawaida yenu tangu msimu uliopita hadi jana.
Badilikeni sana la Sivyo hata mkichukua kombe mtachukua mkiwa mmechoka sana hata nguvu ya kulinyenyua kombe hazitakuepo.
No Comfortable win at all,shame on u[emoji34]
Mna kikosi kizuri sana ila mmeshaathirika na punyeto ya kifikra,
Nikiwa kama mdau wa soka la nchi hii nasikitishwa sana na tabia isiyokoma ya Viongozi wa yanga kuamini ushirikina na vurugu za kuvunja mageti na kupita milango isiyoruhusiwa kama njia ya kupata ushindi team inapocheza
Najua Faini mnazopigwa ni ndogo sana kwenu ndio maana kila mara imekua ndio kawaida yenu tangu msimu uliopita hadi jana.
Badilikeni sana la Sivyo hata mkichukua kombe mtachukua mkiwa mmechoka sana hata nguvu ya kulinyenyua kombe hazitakuepo.
No Comfortable win at all,shame on u[emoji34]
Mna kikosi kizuri sana ila mmeshaathirika na punyeto ya kifikra,