wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
kuna habari ambazo kuna kiongozi wa juu wa simba anamtumia mchezaji wa zamani wa simba kuihujumu yanga kwa njia mbalimbali mchezoni amepewa na gari kwa kazi hiyo kumfuata refa popote tanzania akimaliza hapo anaenda kwa timu ambayo itacheza na Yanga. Kiongozi huyo na mchezaji majina yao nayafungia.
kiongozi huyo amejaribu kuishawisha azamfc mpango huo wamekataa
kiongozi huyo amejaribu kuishawisha azamfc mpango huo wamekataa