Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Hivi Yanga mnakwama wapi? Ikiwa leo Klabu ya Yanga inaandika historia nyingine ya kuwachagua viongozi wapya na imara, ambao wanaotarajiwa kuipeleka mbele zaidi Yanga na kuleta maendeleo ili klabu iwe kama Simba SC ambayo imeonyesha njia ambayo kuiga si dhambi.
Sasa kwanini basi uchaguzi huu mkuu muhimu, usifanyike kwenye ukumbi wa Kimataifa Julius Nyerere International Convention Center kama Simba SC, ili kuupa hadhi uchaguzi huu na vile vile kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ya kufahamu kwamba historia iliandikwa hapa.?
Sasa kwanini basi uchaguzi huu mkuu muhimu, usifanyike kwenye ukumbi wa Kimataifa Julius Nyerere International Convention Center kama Simba SC, ili kuupa hadhi uchaguzi huu na vile vile kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo ya kufahamu kwamba historia iliandikwa hapa.?