Yanga mnapata wapi nguvu ya kubishana na klabu namba tano Afrika?

Yanga mnapata wapi nguvu ya kubishana na klabu namba tano Afrika?

Semaji laitisha vyombo vya habari.
sddefault.jpg
 
Hivi nyie Utopolo a.ka Gongowazi, mnapataga wapi ujasiri hata wa kubishana tu na watu wa timu namba tano Africa kwa ubora? Level zenu ni Ihefu, Dodoma na KMC, hao ndio mnaweza kubishana nao. Next time tutaongea kwa viboko mkiendelea kumuongelea mnyama mkali Africa.
Hivi imekuaje timu namba tano ikaenda kucheza luza kapu?
 
Back
Top Bottom