mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Ni jambo zuri na la kiungwana kabisa pale utakaposikia mgeni atakuja kwa jirani yako wewe unafanya maandalizi ya kwenda kumpokea stendi au uwanja wa ndege bila hata kupata rukhusa ya jirani yako pengine hata nauli hauna lakini unakopa ili ukampokee na kumsindikiza hadi kwa mwenyeji wake. Ni jambo zuri kwakweli.
Lakini huo uungwana unakuwa hauna Maana tena pale yule mgeni anapokwambia nataka kuoondoka naomba unisindikize we unamchungulia dirishani huku anaangaika na mabegi yake hadi uwanja wa ndege. Watoto wa mjini wanasema kumsagia kunguni.
Ukipokea , kumbuka na kusindikiza.
Lakini huo uungwana unakuwa hauna Maana tena pale yule mgeni anapokwambia nataka kuoondoka naomba unisindikize we unamchungulia dirishani huku anaangaika na mabegi yake hadi uwanja wa ndege. Watoto wa mjini wanasema kumsagia kunguni.
Ukipokea , kumbuka na kusindikiza.