Hivi hawa vyura wana matatizo ya akili ama sasa kigezo kipi mnakitaka maana.
Simba msimu uliopita alikuwa bingwa msimu huu kafika robo fainali ya CAF Champions League kwenye ligi amewafunga mechi moja mmedraw moja.
Au mnataka mkatembeze bakuli lenu?
Simba msimu uliopita alikuwa bingwa msimu huu kafika robo fainali ya CAF Champions League kwenye ligi amewafunga mechi moja mmedraw moja.
Au mnataka mkatembeze bakuli lenu?