Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mbele daima Nyuma kuna MwikoKwa namna mlivyokufuru na kukubali dhambi msimu huu wa Ramadhan, mnaweza kuwapumbaza wachezaji wa Mamelodi lakin kuwazuia wasimsulubu kipa wenu mwenye miguu mizuri kama Asha Ngedere haiwezekani na haiwezekani.
Shalulele kwa beki hii ya Bacca na Job, kudadadeki.
Peter wa Royal Tour[emoji23][emoji23][emoji23]huku Mvala kule Themba Zwane,dimba la kati Marcelo ubaoni anasimama Perter wa Royal tour Shalulile.
Mungu wangu,,,[emoji16]
Wewe ndio zimeruka una mental illness kwanini uwapangie watu kitu cha kufurahia waache huko marekani huwaambii kitu kwenye NBA huko England huwaambii kitu kwenye APL sasa kwanini hapa watu wamejita wanapenda mpira sababu ya influence ya timu ya simba na yanga wewe unahita ni propaganda..!Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Wajinga tu hao.Mpaka mnaisahau mechi yenu ya Ijumaa, hata kuifungulia uzi umeshindwa. Okay na nyinyi Ijumaa itakuwaje?
Unawekwa wwMbele daima Nyuma kuna Mwiko
Huyo ni mgonjwa mkuu ana vyeti kabisa achana nae huwezi kuwapangia watu jinsi ya kuishi.Wewe ndio zimeruka una mental illness kwanini uwapangie watu kitu cha kufurahia waache huko marekani huwaambii kitu kwenye NBA huko England huwaambii kitu kwenye APL sasa kwanini hapa watu wamejita wanapenda mpira sababu ya influence ya timu ya simba na yanga wewe unahita ni propaganda..!
Unaumwa wewe!
.Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.
KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....
MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.
MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE