Yanga msilalamike kuondoka kwa Coutinho

Yanga msilalamike kuondoka kwa Coutinho

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
nimemsikia msemaji wa yanga akitoa vitisho kwa mchezaji huyo sio vizuri mchezaji huyo kupewa dk 2 za mchezo udikteta wa viongozi ndizo zilivyomfanya aondoke.
uongozi ulionekana viburi baada ya yanga kuchukua ubingwa sasa tuwaone mwaka huu kama mtachukua ubingwa mwaka huu
 
Mkuu,hata kwa timu ya Azam ni yale yale. Brian Majwega haonekani kwenye mechi hata kwenye 'sub'. Nilidhani katemwa lakini kumbe ni maamuzi tu ya benchi la ufundi kumzibia. Huyu Brian ni mchezaji wa timu ya taifa ya nchi yake sasa kutompanga hata 'sub' ni kitendo kibaya sana.
 
Kwa yanga kwa kweli sioni sababu ya kutompanga coutinho. Naona yule Lunyamila mdogo naye wameanza kumbania sana. Yanga ina wachezaji wazuri, na karibia wote wana viwango sawa, hawapishani sana ktk viwango. Ingekuwa bora kocha awe anawapanga wote kwa kuwabadilisha badilisha kutegemea na mechi.
 
Yanga na simba kwa sasa na azam vinaua viwango vya wachezaji
 
Mwashiuya aliletwa kwa mkwara, sasa hivi hata jukwaani haonekani
 
ganda la mua la jana chungu kaona kivuno
 
Mkuu,hata kwa timu ya Azam ni yale yale. Brian Majwega haonekani kwenye mechi hata kwenye 'sub'. Nilidhani katemwa lakini kumbe ni maamuzi tu ya benchi la ufundi kumzibia. Huyu Brian ni mchezaji wa timu ya taifa ya nchi yake sasa kutompanga hata 'sub' ni kitendo kibaya sana.

Mkuu Brian Majwega hayupo AZAM, alisharudishwa kwao na huko akapata timu, Simba wanataka kurudisha Tanzania
 
nawasikitikia sana mwashiuya na kaseke yasije wapata ya mrisho ngasa maana saivi kawa hana thamani kama dekio, anakimbia kimbia tu uwanjani
 
Mkuu Brian Majwega hayupo AZAM, alisharudishwa kwao na huko akapata timu, Simba wanataka kurudisha Tanzania
Mkuu, ni wiki iliyopita tu msemaji wa timu ya Azam alihojiwa na baadhi ya radio zetu kuhusiana na mchezaji huyo kuamua kufanya mazowezi na klabu ya Simba, huyo bwana aling'aka na kudai Brian bado ni mchezaji wao Azam na kwamba kuamua kufanya mazowezi timu nyingine ni kinyume na mkataba.
 
Back
Top Bottom