MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Majirani,
Huyu Mwamnyeto mmemgeuza Maguire kwa kumpa kila lawama timu ikiruhusu goli! Yanga hamjapoteza game zaidi ya mechi 40 chini ya ukuta wa Mwamnyeto lakini bado mnamuona ni beki asiyefaa.
Ile game ya Al Hilal assume Mwamnyeto angekuwa amecheza! Angeoga matusi ya lawama lakini kwavile kipenzi chao Bangala ndio alilazwa na viatu wapo kimya.
Sasa kuna pressure Mwamnyeto arudi kuwa Centre back na Bangala asogee Midfield. Mechi ya Sudan ni ngumu na itakuwa na pressure kubwa. Hapa mnataka kumpa lawama bure Mwamnyeto maana tayari ana pressure zenu zilizoua confidence yake! Alafu weka na pressure ya Al Hilal ni mtego kwake.
Binafsi naamini Mwamnyeto ni beki bora na akipata mtu wa kumuweka sawa kisaikolojia atawasaidia sana lakini si game ya kesho ambayo inaweza kupigilia msumari wa hatma yake Yanga.
Kila lakheri Mwamnyeto! Uto mpate mnachostahili huko Khartoum [emoji846]
Huyu Mwamnyeto mmemgeuza Maguire kwa kumpa kila lawama timu ikiruhusu goli! Yanga hamjapoteza game zaidi ya mechi 40 chini ya ukuta wa Mwamnyeto lakini bado mnamuona ni beki asiyefaa.
Ile game ya Al Hilal assume Mwamnyeto angekuwa amecheza! Angeoga matusi ya lawama lakini kwavile kipenzi chao Bangala ndio alilazwa na viatu wapo kimya.
Sasa kuna pressure Mwamnyeto arudi kuwa Centre back na Bangala asogee Midfield. Mechi ya Sudan ni ngumu na itakuwa na pressure kubwa. Hapa mnataka kumpa lawama bure Mwamnyeto maana tayari ana pressure zenu zilizoua confidence yake! Alafu weka na pressure ya Al Hilal ni mtego kwake.
Binafsi naamini Mwamnyeto ni beki bora na akipata mtu wa kumuweka sawa kisaikolojia atawasaidia sana lakini si game ya kesho ambayo inaweza kupigilia msumari wa hatma yake Yanga.
Kila lakheri Mwamnyeto! Uto mpate mnachostahili huko Khartoum [emoji846]