Yanga msimu huu mmewaweza wanafiki

Yanga msimu huu mmewaweza wanafiki

gentleman J

New Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
3
Reaction score
103
Wachambuzi wa uchwara wa hapa JamiiForums na wengine wa mitandao wanaweweseka kila kukicha hawapati taarifa kutoka kwa Yanga. Wanajaribu kutunga habari za kizushi ili waende mjini lakini hawafanikiwi.

Yanga ndio club kubwa Tanzania, wewe jiulize Azam na Simba wametambulisha wachezaji wao lakini hawapi airtime za kutosha, kila mchambuzi anasubiri wachezajiwa Yanga.

~ Eti mara Mtendaji Mkuu anataka kuondoka.
~ Eti yanga wamefungiwa kusajili.
~ Yanga hawana pesa
~ Wachezaji wanataka kuondoka.

Labda hamjaelewa kitu, Yanga wameamua kufanya mambo yao kiprofessional zaidi, Yanga wamesema hawashindani na mtu kusajili, Yanga wanasajili kulingana na matakwa yao.

~ Yanga walianza kutambulisha Kocha.
~ Leo wanatambulisha Benchi la Ufundi.
~ Watafata kutambulisha wachezaji.

Yanga washasema wameshamaliza kusajili, sasa nashangaa mpuuzi mmoja kutoka humu JamiiForums nadhani mnajua huyu jamaa taarifa zake nizakipuzi na uongo mtupu.

Hjui mpira wala nini, yeye anaishi kwa mihemuko tu na mahaba ya kijinga. Hata ukiangalia nyuzi zake nyingi ni kuisema Yanga, anashindwa kuelewa kuwa anaipa yanga airtime.
 
Mnafiki ni yule aliyeongea kwa uchungu kuhusu namba sita iliyotekwa pale Airport na club kubwa si tu Tanzania bali pia Afrika imewekwa port 2 inashika nafasi a saba. Ni mnafiki kwa sababu tulisha aminishwa hakuna mchezaji aliyetekwa wa Yanga
 
Yanga hamna habari yeyote...lipeni madeni
 
Mnafiki ni yule aliyeongea kwa uchungu kuhusu namba sita iliyotekwa pale Airport na club kubwa si tu Tanzania bali pia Afrika imewekwa port 2 inashika nafasi a saba. Ni mnafiki kwa sababu tulisha aminishwa hakuna mchezaji aliyetekwa wa Yanga
We nawe
Fabrice Ngoma aliwahi kua namba sita?
Kuanzia position uwanjani Hadi jezi , hajawahi kua namba sita
 
358132229_18226265845226150_1278681305450744382_n.jpg
 
Tusubiri league ianze
Naona mmejipa kombe la porojo za usajili
Hatutaki lawama
 
Nilichogundua Simba ndio ilikuwa inawaonyesha wachezaji wa kusajiliwa kuanzia Yanga mpaka baadhi ya team za kiarabu.Ukitaka kujua hayo tazama mifano hii:_

Simba ilimtaka Azizi Ki ila ndugu zetu baada ya kuona Simba inamtaka Rais wao mbio hadi kwenda kumsajiri(Dili likavurugika)

Simba ilimtaka Adeboyer,waarabu wakaingilia Kati wakavuruga na kumsajiri

Simba ilimtaka Manzoki,Yanga baada ya kuona nao wakaingilia Kati mpaka Dili likafa.

Simba ilimtaka Luis,Injinia alifunga safari mpaka msumbiji kwa bahati mbya mkataba upo S.A

Huu ni mfano wa uchache ndio maana huoni waarabu Wala Yanga wakionekana kumtaka mchezaji kwa walishazoea kuona Simba Kama ndio kioo Chao.
 
Kama ni uzushi mbona mnatumia nguvu kubwa sana kukanusha. Endeleeni kupiga kimya maana uongo huwa unajimaliza wenyewe. Chaajabu mnatumia nguvu kuuubwa kubishana na uzushi hata usingizi mnakosa.
 
Wachambuzi wa uchwara wa hapa JamiiForums na wengine wa mitandao wanaweweseka kila kukicha hawapati taarifa kutoka kwa Yanga. Wanajaribu kutunga habari za kizushi ili waende mjini lakini hawafanikiwi.

Yanga ndio club kubwa Tanzania, wewe jiulize Azam na Simba wametambulisha wachezaji wao lakini hawapi airtime za kutosha, kila mchambuzi anasubiri wachezajiwa Yanga.

~ Eti mara Mtendaji Mkuu anataka kuondoka.
~ Eti yanga wamefungiwa kusajili.
~ Yanga hawana pesa
~ Wachezaji wanataka kuondoka.

Labda hamjaelewa kitu, Yanga wameamua kufanya mambo yao kiprofessional zaidi, Yanga wamesema hawashindani na mtu kusajili, Yanga wanasajili kulingana na matakwa yao.

~ Yanga walianza kutambulisha Kocha.
~ Leo wanatambulisha Benchi la Ufundi.
~ Watafata kutambulisha wachezaji.

Yanga washasema wameshamaliza kusajili, sasa nashangaa mpuuzi mmoja kutoka humu JamiiForums nadhani mnajua huyu jamaa taarifa zake nizakipuzi na uongo mtupu.

Hjui mpira wala nini, yeye anaishi kwa mihemuko tu na mahaba ya kijinga. Hata ukiangalia nyuzi zake nyingi ni kuisema Yanga, anashindwa kuelewa kuwa anaipa yanga airtime.
Ally kamwe kazin
 
Mwandiko kama wa yule bint mwenye mwanya. Nahisi utakuwa ni wewe.
 
Wachambuzi wa uchwara wa hapa JamiiForums na wengine wa mitandao wanaweweseka kila kukicha hawapati taarifa kutoka kwa Yanga. Wanajaribu kutunga habari za kizushi ili waende mjini lakini hawafanikiwi.

Yanga ndio club kubwa Tanzania, wewe jiulize Azam na Simba wametambulisha wachezaji wao lakini hawapi airtime za kutosha, kila mchambuzi anasubiri wachezajiwa Yanga.

~ Eti mara Mtendaji Mkuu anataka kuondoka.
~ Eti yanga wamefungiwa kusajili.
~ Yanga hawana pesa
~ Wachezaji wanataka kuondoka.

Labda hamjaelewa kitu, Yanga wameamua kufanya mambo yao kiprofessional zaidi, Yanga wamesema hawashindani na mtu kusajili, Yanga wanasajili kulingana na matakwa yao.

~ Yanga walianza kutambulisha Kocha.
~ Leo wanatambulisha Benchi la Ufundi.
~ Watafata kutambulisha wachezaji.

Yanga washasema wameshamaliza kusajili, sasa nashangaa mpuuzi mmoja kutoka humu JamiiForums nadhani mnajua huyu jamaa taarifa zake nizakipuzi na uongo mtupu.

Hjui mpira wala nini, yeye anaishi kwa mihemuko tu na mahaba ya kijinga. Hata ukiangalia nyuzi zake nyingi ni kuisema Yanga, anashindwa kuelewa kuwa anaipa yanga airtime.
Kwani kibabaje sio mchezaji mkuu au hakutambuliswa yanga.
 
Wachambuzi wa uchwara wa hapa JamiiForums na wengine wa mitandao wanaweweseka kila kukicha hawapati taarifa kutoka kwa Yanga. Wanajaribu kutunga habari za kizushi ili waende mjini lakini hawafanikiwi.

Yanga ndio club kubwa Tanzania, wewe jiulize Azam na Simba wametambulisha wachezaji wao lakini hawapi airtime za kutosha, kila mchambuzi anasubiri wachezajiwa Yanga.

~ Eti mara Mtendaji Mkuu anataka kuondoka.
~ Eti yanga wamefungiwa kusajili.
~ Yanga hawana pesa
~ Wachezaji wanataka kuondoka.

Labda hamjaelewa kitu, Yanga wameamua kufanya mambo yao kiprofessional zaidi, Yanga wamesema hawashindani na mtu kusajili, Yanga wanasajili kulingana na matakwa yao.

~ Yanga walianza kutambulisha Kocha.
~ Leo wanatambulisha Benchi la Ufundi.
~ Watafata kutambulisha wachezaji.

Yanga washasema wameshamaliza kusajili, sasa nashangaa mpuuzi mmoja kutoka humu JamiiForums nadhani mnajua huyu jamaa taarifa zake nizakipuzi na uongo mtupu.

Hjui mpira wala nini, yeye anaishi kwa mihemuko tu na mahaba ya kijinga. Hata ukiangalia nyuzi zake nyingi ni kuisema Yanga, anashindwa kuelewa kuwa anaipa yanga airtime.
huu uzi ni km umewatia DOLE...pyuuuu!!!
 
Back
Top Bottom