ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwa kinachoendelea pale jangwani ni wazi hali ni tete, sote tunajua hali ya upepo kila kukicha inazidi kuharibika mifuko inazidi kukauka. Wafadhiri wakubwa pamoja na mapedejee hali zao ki uchumi zimeyumba sana ndani ya miaka miwili hii Yanga sports club ni wakati wa kuwageukia mashabiki wenu mmoja mmoja mwenye uwezo wa kuchangia afanye hivyo
Ni ushauri wangu tu kwenu zitangazeni namba zenu halali za M pesa Tigo Pesa na Airtel Money wakereketwa wenu waokoe jahazi hili, wakijitokeza mashabiki milioni 10 wakachanga japo1000 tu hakika zitawasogeza sana, vinginevyo mnakwenda shuka daraja
Huo ni ushauri tu, hata simba mjue hao wanaowapa support nao watachoka si mbali, chukueni hatua ukiona mwenzio ananyolewa...
Otherwise baada ya miaka miwili tutegemee mabadiliko makubwa kwani tutabakiwa na Jkt Ruvu, Tz Prison na Azam tu Ligi KuuYaVodacom
Ni ushauri wangu tu kwenu zitangazeni namba zenu halali za M pesa Tigo Pesa na Airtel Money wakereketwa wenu waokoe jahazi hili, wakijitokeza mashabiki milioni 10 wakachanga japo1000 tu hakika zitawasogeza sana, vinginevyo mnakwenda shuka daraja
Huo ni ushauri tu, hata simba mjue hao wanaowapa support nao watachoka si mbali, chukueni hatua ukiona mwenzio ananyolewa...
Otherwise baada ya miaka miwili tutegemee mabadiliko makubwa kwani tutabakiwa na Jkt Ruvu, Tz Prison na Azam tu Ligi KuuYaVodacom