wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Yanga bana, mmeona tu penati hamjaona red card ya MoloKwa uonevu huu wa tff kutumia waamuzi kuikwamisha yanga uongozi usipeleke timu mapinduzi cup ili kilio hicho kifike serikalini.
Huu ni mwaka wa tatu tunaonewa na waamuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule lamina Moro amejitafutia ban ya mechi yuleWaamuzi wa bongo ni pasua kichwa! Yule mwamuzi jana alizingua kuwanyima Yanga ile penati ya wazi. Kwa mara ya kwanza nilimuona Master akitokwa na povu kama lote. Ila kuna umuhimu pia kwa viongozi wa timu kuweka kipengele cha nidhamu kwenye mikataba ya wachezaji wao.
Kile kitendo alichokifanya Lamine Moro ni cha kitoto! Na hakistahili kufanywa na mchezaji wa hadhi kama yake. Ajirekebishe na ajitahidi kuzuia hasira na jazba zake za karibu.
Washaanza kulialia washasahau ktk ligi hii hii washawahi kufungwa goli safi kabisa na ruvu shooting ila.refa akalikataa,vilevile walipewa goli ambalo halikuingia siku walipocheza na kosti.Kwa uonevu huu wa tff kutumia waamuzi kuikwamisha yanga uongozi usipeleke timu mapinduzi cup ili kilio hicho kifike serikalini.
Huu ni mwaka wa tatu tunaonewa na waamuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nyie kipindi kile malinzi au sioTFF yuko mdau wa simba Karia unategewea nini