wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
Kwa uonevu huu wa TFF kutumia waamuzi kuikwamisha yanga uongozi usipeleke timu mapinduzi cup ili kilio hicho kifike serikalini.
Huu ni mwaka wa tatu tunaonewa na waamuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni mwaka wa tatu tunaonewa na waamuzi
Sent using Jamii Forums mobile app