Yanga msipobadilika Mh mtayaoga

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Yanga kwa mchezo mnaocheza hakika ligi ikianza msipobadilika basi mjiandae kupigika sana.Mnatuweka roho juu sana mashabiki wenu wa kiboya mnaocheza.
Mfano. Mtu kama okwi na akina cha ufupi (kichuya)fundi (NIYONZIMA) hawatatuacha salama aisee....badilikeni fasta vinginevyo mnampango wakutupa pressure msimu huu (mitaani huku mtatufanya tusitembee kabisa)

Mnaniboa sana

Commred Chichimizi

commred Chichimizi
 
Kwa majigambo haya nilitegemea mtawafunga Mtibwa 5...

Tatizo la Yanga sasa hivi ni beki mmoja wa kati (kuziba nafasi ya Bossou),tatizo hili linaenda kutatuliwa na beki Mnigeria Yisa Anifowoshe...Atasaidiana na Kelvin Patrick Yondan, Nadir Haroub, Pato Ngonyani, Abdallah Shaib na Andrew Vincent.

Magolikipa tunao wazuri tu...Youthe Rostand, Beno Kakolanya, Ramadhan Kabwili na Rahim Sheikh

Mabeki wa pembeni ni Gadiel Michael Mbaga, Haji Mwinyi Ngwali , Juma Abdul Mnyamani na Hassan Ramadhan Kessy

Viungo wa kati wapo wazuri na wa kutosha...Yupo Thaban Kamusoko, Said Juma, Papy Kabanda Tshishimbi, Raphael Daud Alpha, Pius Buswita na Maka Edward Mwakalukwa...

Washambuliaji Obrey Cholla Chorwa, Donald Dombo Ngoma, Amis Jocelyne Tambwe, Ibrahim Ajib Migomba na Matheo Anthony..

Mawinga ni Geofrey Mwashiuya, Emmanuel Martin, Said Mussa, Baruany Yahaya, Yusuph Mhilu na Juma Mahadhi..
 
Simba wa kawaida ..wanadai wamesajili kwa 1.3 bilioni..MO unapigwa sio kwa vibabu vile khaaa
 

Pumba tupu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…