kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Wacha mfungaji bora ajitokeze tu by chance na sio kulazimisha lazima mfungaji bora atoke Yanga. Kufanya hivyo kutakuwa na athari kadhaa zikiwemo:
1. Kumchosha mchezaji mmoja huyohuyo ambae mnamtaka awe mfungaji bora kwenye ligi. mtamlazimisha kumchezesha mechi zooote za ligi.
2. mchezaji huyo anakuwa na hofu ya kupitwa kwenye ushindani na kusababisha kukosa kufunga hata magoli ya wazi.
3. Baadhi ya wachezaji wenzake kwenye kikosini wanaweza kuacha kumpa ushirikiano
4. Mchezaji huyo utakamiwa sana na wachezaji wa timu pinzani
5. Timu yenu inaweza kukosa kupata magoli mengi au point 3 kwenye kila mechi.
6. Wachezaji wengine kwenye timu watakata tamaa.
Waacheni magoli ya aina mbalimbali yafungwe na wachezaji wa aina mbalimbali kwenye timu, hatimae Yanga inashinda kama timu.
1. Kumchosha mchezaji mmoja huyohuyo ambae mnamtaka awe mfungaji bora kwenye ligi. mtamlazimisha kumchezesha mechi zooote za ligi.
2. mchezaji huyo anakuwa na hofu ya kupitwa kwenye ushindani na kusababisha kukosa kufunga hata magoli ya wazi.
3. Baadhi ya wachezaji wenzake kwenye kikosini wanaweza kuacha kumpa ushirikiano
4. Mchezaji huyo utakamiwa sana na wachezaji wa timu pinzani
5. Timu yenu inaweza kukosa kupata magoli mengi au point 3 kwenye kila mechi.
6. Wachezaji wengine kwenye timu watakata tamaa.
Waacheni magoli ya aina mbalimbali yafungwe na wachezaji wa aina mbalimbali kwenye timu, hatimae Yanga inashinda kama timu.