Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Nimeipenda title ya thread yako, maana ni endelevu.... kila wwkichukuwa ubingwa, title inakulazimisha kuwa msimu inaofuata... MISIMU ITAFUATA SANA TU... UKIISHA HUU UNAANZA MWINGINE..nimefatilia kwa majigambo kuwa wao ni wa kitaifa lakini msimu unaokuja msitarajia kubeba ubingwa pamoja na makeke ya usajiri
Mkuu, kila msimu ni msimu ujao kwa uliopita.... hata huu msimu wa Yanga kuwa bingwa ni ujao kwa msimu wa mwaka jana.... ASEME MSIMU UJAO NDO UPI..?mkuu sipingani na wew lakin naomba sababu zilizoshiba kwa nini YANGA asitegemee ubingwa msimu ujao? au ituambie timu gani itegemee ubingwa msimu ujao na kwasababu zipi za kiufundi ukiachana na sababu za kishabiki
Wewe popoma njoo ule matapishi yako,ukome kuleta unazi wako huku.nimefatilia kwa majigambo kuwa wao ni wa kitaifa lakini msimu unaokuja msitarajia kubeba ubingwa pamoja na makeke ya usajiri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vibaya hivyo mkuu.Inaweza ikawa kweli hii!
Mkuu naona umerithi mikoba ya sheikh yahya[emoji12] [emoji12]nimefatilia kwa majigambo kuwa wao ni wa kitaifa lakini msimu unaokuja msitarajia kubeba ubingwa pamoja na makeke ya usajiri
Hivi hakuna kitufe cha kufuta threadnimefatilia kwa majigambo kuwa wao ni wa kitaifa lakini msimu unaokuja msitarajia kubeba ubingwa pamoja na makeke ya usajiri