Yanga msitufanye watoto

Mkwasa hajui hta kutafuta visingizio vyenye tija " eti ajib amebaki kwa sababu mke wake anatarajia kujifungua" WTF!!!!!!
Mkuu unaelewa maana na "Paternity leave"kama hujui sema tukwambie ndipo uelewe maana jitahidi kupunguza mihemko
 
Mkwasa hajui hta kutafuta visingizio vyenye tija " eti ajib amebaki kwa sababu mke wake anatarajia kujifungua" WTF!!!!!!
Sijawahi kumkubali Mkwasa akiwa kama kocha au kiongozi japo alikua mahiri sana enzi zake kama mchezaji
 
Yanga inaweza kujiendesha yenyewe. Kinachotakiwa ni uongozi makini na ulioenda shule.
Kuongoza club kama ile kunahitaji wasomi. Pesa itapatikana tu.

Uko sahihi ila Yanga hawapendi wasomi...wanataka mtu au kiongozi mropokaji, anayenyenyekea kwa wafadhili na mpiga majungu...kiongozi msomi na makini atapigwa vita tu...Acha Yanga ifungwe matatizo yalianza pale walipotaka kuiuza timu kwa mtu...mtu huyo akapandisha mishahara na fedha za usajili na kufanya viongozi wanaokuja wawe na ugumu kuongoza...wajanja wakamzunguka na kupiga majungu huku wakitafuna fedha zake kwa mgongo wa Yanga...huyo mtu sasa hayupo, sasa kazi imebaki kwa wapiga majungu na wauza timu...
 
Mnaleta siasa kwenye soka??

Ajib mke wake mjamzito hvyo kashindwa kusafiri na timu, tshitshimbi mgonjwa toka lini??

Semeni tu hali ni mbaya huko klabuni acheni kuzunguka mbuyuu
In 21st century timu inategemea pesa ya mtu mfukoni, kweli!? Timu yenye fan base of more than 15m...kweli!? Bado unashindwa kuamini kuwa mtu mweusi ana tatizo la asili kwa meandeleo...eti Yanga haina pesa ya kulipa mshahara of 20 players na 5 stuff... ha ha ha... AFRICA OOH AFRICA...
 
Ni maajabu kwakweli
 
Mkuu unaelewa maana na "Paternity leave"kama hujui sema tukwambie ndipo uelewe maana jitahidi kupunguza mihemko
Akishajifungua ndio mtu anapata paternity leave sio anatarajia kujifungua jiongeze mkuu
 
Ni maajabu kwakweli

Hakuna cha maajabu hapo...wewe unategemea nini timu imezungukwa na wapiga majungu na wapiga dili...kiongozi hana uwezo anachaguliwa eti kwa sababu ni mropokaji na mpiga majungu..wapiga dili na wauza unga wanaongoza Yanga...wapiga dili wanapigania kuiuza timu kwa mtu, dah....
 
Mkwasa hajui hta kutafuta visingizio vyenye tija " eti ajib amebaki kwa sababu mke wake anatarajia kujifungua" WTF!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo pesa haitolewi sasa, mpaka mechi zote za makundi zichezwe na ijulikane wa kwanza hadi wa mwisho. Hiyo milioni 600,ni za timu itakayokamata mkia. Yanga wana uhakika wa kuzipata hata kama watakamata mkia, lakini si sasa.
 
Hiyo pesa haitolewi sasa, mpaka mechi zote za makundi zichezwe na ijulikane wa kwanza hadi wa mwisho. Hiyo milioni 600,ni za timu itakayokamata mkia. Yanga wana uhakika wa kuzipata hata kama watakamata mkia, lakini si sasa.
Mbona mbwembwe zao washatuaminisha wamepewa cheki.Ovyo sana basi wakope.
 
Hiyo pesa haitolewi sasa, mpaka mechi zote za makundi zichezwe na ijulikane wa kwanza hadi wa mwisho. Hiyo milioni 600,ni za timu itakayokamata mkia. Yanga wana uhakika wa kuzipata hata kama watakamata mkia, lakini si sasa.
Mbona mbwembwe zao washatuaminisha wamepewa cheki.Ovyo sana basi wakope.
 
Mawazo ya mwanadamu hata siku moja hayajawahi kufanana na Muumba wa mbingu na nchi
 
Bi hindu wanabwabwaja sana kwenye huu Uzi
 
Akishajifungua ndio mtu anapata paternity leave sio anatarajia kujifungua jiongeze mkuu
Ni kweli akijifungua atapewa 3 days za kushughulikia familia, kiukweli sababu zao ziko too weak! Mm hazijaniingia akilini kabisa, bora sababu ya majeruhi inatubidi tuamini tu! Mm nahisi kuna tatizo katika yanga, pia makocha waliopo nao siwaelewi hata kidogo. Timu inazuia mda wote hakuna mbinu nyingine waliyonayo, timu iko taratibu mnooo! Sasa huku kwenye makundi siyo mtoano lkn utashangaa tunazuia mda wote! Mm nadhani tungewatumia tu vijana haina namna mkomola apewe nafasi aongoze safu ya ushambuliaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…