mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,181
Mkuu unaelewa maana na "Paternity leave"kama hujui sema tukwambie ndipo uelewe maana jitahidi kupunguza mihemkoMkwasa hajui hta kutafuta visingizio vyenye tija " eti ajib amebaki kwa sababu mke wake anatarajia kujifungua" WTF!!!!!!