Yanga msitufanye watoto

Yanga msitufanye watoto

Tatizo hamsemi,leteni proposal mseme mnataka sh.ngapi?Mnalia njaa wakati pesa iko kwa watu?
acha kwanza tusote, swaumu itupige kisawasawa ili siku mwekezaji akijitokeza tuungane kumpa timu.
We si unaona mikia walivopigwa na swaumu mpaka wakageuka ng'ombe kila mtu MO MO MO MO MO MO huwaambi ktu kuhusu Mo.
 
Kwani milioni 600 vipi tena?? Au zote mmelipa madeni mengine??
 
Yanga tutafungwa na gor mahia game ijayo,,, nimeangalia mpira wao na rayon sports Leo,,, kwa ufupi tujiandae kisaikolojia kushika mkia kwenye kundi.
Kinachouma zaidi eti Mkemi ni head wa marketing department ya timu,,
 
Yanga tutafungwa na gor mahia game ijayo,,, nimeangalia mpira wao na rayon sports Leo,,, kwa ufupi tujiandae kisaikolojia kushika mkia kwenye kundi.
Kinachouma zaidi eti Mkemi ni head wa marketing department ya timu,,
1. hatuna kocha wa maana. Tumeokota tu kocha ambae hana hata CV kwenye soka la afrika
2. hatuna viongozi ila tuna kundi la wapiga dili wanaoangalia maslahi yao na sio ya timu.
 
Yanga tutafungwa na gor mahia game ijayo,,, nimeangalia mpira wao na rayon sports Leo,,, kwa ufupi tujiandae kisaikolojia kushika mkia kwenye kundi.
Kinachouma zaidi eti Mkemi ni head wa marketing department ya timu,,

duh! mkemi tena!! yanga wana hali mbaya hata watendaji wanaokoteza wa bei rahisi na wakujitolea
 
IMG-20180507-WA0012.jpg
 
Genge la Mkemi , Moody Kabwe , Frank Chacha na Mzee Akilimali ndo chanzo cha matatizo yote
 
Back
Top Bottom