Yanga mtauthibitishia umma haya?

Yanga mtauthibitishia umma haya?

Uchira 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
5,994
Reaction score
8,696
Ni muda mrefu kiasi umepita toka nilipoa andika uzi kuhusiana na club ya yanga.


Yanga wanazidi kuonesha makubwa ambayo niliyaandika katika uzi ulopita.

Leo kabla ya mechi ya leo dhidi ya wapinzani wao natangulisha pongezi kwa club ya yanga kwa hatua walofikia pia kwa mashabiki wa yanga
Bila kuwasahau watanzania wote wapenda mpira.

Nafasi ya yanga bado naona ni kubwa sana katika kutwaa kombe hili maana hari waliyo nayo ni kubwa mno.
 
Ni muda mrefu kiasi umepita toka nilipoa andika uzi kuhusiana na club ya yanga.


Yanga wanazidi kuonesha makubwa ambayo niliyaandika katika uzi ulopita.

Leo kabla ya mechi ya leo dhidi ya wapinzani wao natangulisha pongezi kwa club ya yanga kwa hatua walofikia pia kwa mashabiki wa yanga
Bila kuwasahau watanzania wote wapenda mpira.

Nafasi ya yanga bado naona ni kubwa sana katika kutwaa kombe hili maana hari waliyo nayo ni kubwa mno.
Una maono sana mzee..!!
 
Ni muda mrefu kiasi umepita toka nilipoa andika uzi kuhusiana na club ya yanga.


Yanga wanazidi kuonesha makubwa ambayo niliyaandika katika uzi ulopita.

Leo kabla ya mechi ya leo dhidi ya wapinzani wao natangulisha pongezi kwa club ya yanga kwa hatua walofikia pia kwa mashabiki wa yanga
Bila kuwasahau watanzania wote wapenda mpira.

Nafasi ya yanga bado naona ni kubwa sana katika kutwaa kombe hili maana hari waliyo nayo ni kubwa mno.
Peleka ujinga wako huko ulitumia hisia sana kufikir
Kipigo cha mbwa koko hicho
 
Back
Top Bottom