Yanga muacheni Feisal aende pale nafsi inapomtuma

Yanga muacheni Feisal aende pale nafsi inapomtuma

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Mchezaji sio taasisi, Mchezaji ni nafsi huru, ni takwa la nafsi, ni hiyari ya nafsi na takwa la mtu binafsi, mchezaji ni mwanadamu kwa maana hiyo ana utashi binafsi, kitu pekee kinachomfanya mtu akacheza kwa bidii zote ni GUTS, ipeni nafsi yake uhuru, mkimng'ang'ania sana kinyume na nafsi yake inavyomtuma mwishowe ata underperform, kwa sababu huyo ni mwanadamu na siyo mashine unayoweza kuioperate upendavyo, Allow him to explore others places, na ndio uungwana wa kimichezo.
 
Acha apige hela asije kufa na stuli tu kama wachezaji wa Zamani.
Yanga ndiyo timu yangu lakini kung'ang'ania jambo kana kwamba unaweza kuingia kwenye brain ya mtu ukam drives nalikataa kucheza vizuri au vibaya wakati mwingine ni suala la Utashi.
 
Back
Top Bottom