Yanga Mungu anawaona, masikini Ajibu Battery low

Yanga Mungu anawaona, masikini Ajibu Battery low

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
3893a63bc7da8e85218f8d9f0b4f1474.jpg
 
Kweli ajibu battery low angalia amevaa yebo za mwanae wa KIKE mwenye miaka 6

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Hajachangamka kabisa tangu ahamie kwa nzi wa kijani. Ngoja tusubiri mitanange ianze!

Arage Jekundu.
 
Hangover ya Ajibu itachukua muda sana kuwatoka mikia,na mwaka huu tunachukua VPL tena tunataka safari hii mkashtaki mbinguni kabisa maana FIFA hawatendi haki [emoji23][emoji23]
 
Watakatishaji fc mnaweweseka sana...ngoja ligi ianze mkang'oe viti uwanjani
 
Back
Top Bottom