YANGA: Mvua mnayoiyogopa umefikia na Algeria

YANGA: Mvua mnayoiyogopa umefikia na Algeria

Themann

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2022
Posts
3,842
Reaction score
16,058
Kwa taarifa za hali ya hewa zinaonyesha kesho kutakua na mvua na jioni ya Leo mvua imenyesha report kutoka kwa shafih dauda
So utopolo kazi mnayo hapo kesho.


Screenshot_20230602-223213~2.jpg
 
"Hii mvua imetushangaza sana, Wachezaji wa Yanga wakishambulia sana lango la USM Algiers na yenyewe inaongezeka, ila Waarabu wakiwa wanashambulia lango la Yanga inapungua.

Halafu timu zilipoenda mapumziko mvua nayo ikaenda mapumziko (ikakatika), timu ziliporudi uwanjani na yenyewe ikarudi. Hii maana yake ni nini? Ni mvua ya namna gani hii?" - Alisikika shabiki wa Yanga aliyekuwepo pale kwa Mkapa akiongea kwa uchungu mkubwa.

Nyie si mlimtukana Mgunda bila kosa? Wazee wa Tanga walikasirika sana, sasa mtakula jeuri yenu.
 
"Hii mvua imetushangaza sana, Wachezaji wa Yanga wakishambulia sana lango la USM Algiers na yenyewe inaongezeka, ila Waarabu wakiwa wanashambulia lango la Yanga inapungua.

Halafu timu zilipoenda mapumziko mvua nayo ikaenda mapumziko (ikakatika), timu ziliporudi uwanjani na yenyewe ikarudi. Hii maana yake ni nini? Ni mvua ya namna gani hii?" - Alisikika shabiki wa Yanga aliyekuwepo pale kwa Mkapa akiongea kwa uchungu mkubwa.

Nyie si mlimtukana Mgunda bila kosa? Wazee wa Tanga walikasirika sana, sasa mtakula jeuri yenu.
Unaambiwa mgunda hasi sasa hajatoka masjid utopolo kazi wanayo kesho.
 
Kinachowafanya wakaogopa mvua ni kitu gani? Nyau hawa
 
Kinachowafanya wakaogopa mvua ni kitu gani? Nyau hawa
Wakikikumbuka kile kipigo Cha derby 2-O na Ile mvua wanahisi kipigo kinajirudia rudia na hiyo ndio laana Yao Toka kwa mgunda.
 
Mazee ya kufungulia bomba afu aibu yao hayajafika fainali yoyote achilia mbali kuchukua kombe maana hawana uwezo huo, hizo level za wakubwa, tuliza mikia weyee.
 
Back
Top Bottom