Yanga mwajirini kocha wa viungo aliyetimuliwa na Simba

Yanga mwajirini kocha wa viungo aliyetimuliwa na Simba

Kalolelo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
164
Reaction score
244
Kwa kuwa mpira ni kazi mtu anaweza kufanya kazi mahala popote pale kama ambavyo tumejionea hivi karibuni kwa Senzo na Haji Manara.

Huyu jamaa ni msaada mkubwa atawasidia Yanga hadi watashangaa kwanza anaijua kazi yake na nanaipenda pia ni mtoa hamasa kubwa nilikuwa namuona kwenye benchi la ufundi la Simba ambavyo alikuwa anjitoa kushangilia na hata kuwapasha misuli vijana wake.
 
Kwa kuwa mpira ni kazi mtu anaweza kufanya kazi mahala popote pale kama ambavyo tumejionea hivi karibuni kwa Senzo na Haji Manara.

Huyu jamaa ni msaada mkubwa atawasidia Yanga hadi watashangaa kwanza anaijua kazi yake na nanaipenda pia ni mtoa hamasa kubwa nilikuwa namuona kwenye benchi la ufundi la Simba ambavyo alikuwa anjitoa kushangilia na hata kuwapasha misuli vijana wake.
Tatizo hana vyeti hivyo hataruhusiwa
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umetisha boss kwa hiyo buggati unaweza kumumonitor
 
Back
Top Bottom