Tatizo hana vyeti hivyo hataruhusiwaKwa kuwa mpira ni kazi mtu anaweza kufanya kazi mahala popote pale kama ambavyo tumejionea hivi karibuni kwa Senzo na Haji Manara.
Huyu jamaa ni msaada mkubwa atawasidia Yanga hadi watashangaa kwanza anaijua kazi yake na nanaipenda pia ni mtoa hamasa kubwa nilikuwa namuona kwenye benchi la ufundi la Simba ambavyo alikuwa anjitoa kushangilia na hata kuwapasha misuli vijana wake.
mbona tumepkea manara na senzo mzee babaHatutaki. Those guys might change and destroy us. Wakafie mbele.
Hao wametosha, wakiwa wengi tutashindwa kuwa monitormbona tumepkea manara na senzo mzee baba