Yanga na kapu la kubebea magoli

dogoodesign

Member
Joined
Oct 21, 2019
Posts
41
Reaction score
21
Klabu ya soka ya Yanga jana jioni wamesafiri kuelekea Misri kwenye mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wapinzani wao Pyramids FC. Yanga imeondoka ikiwa inakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Kelvin na Lamine Moro kwa harakaharaka ni kama yanga inabidi wasafiri na kapu la kubebea magoli maana sioni Yanga anatokea wapi kule Misri.
 
Kapime akili?
 
.
Your browser is not able to display this video.
 
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Mimi ni nani hata nimpinge mtoa mada.
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Hata Mimi ni nani nimpinge Mtoa Mada
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Mie ni nani hasa nipinge kapu la yanga
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Hata mimi ni nani nimpinge mtoa mada.
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
 
Nyie kweli ni wanawake wazuri, hamuishi wala hamuchoki kumtaja na kumuwaza Mme wenu. Yanga hongera kwa kuwa na mke mwema mikia fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…