Yanga na kapu la kubebea magoli

Yanga na kapu la kubebea magoli

dogoodesign

Member
Joined
Oct 21, 2019
Posts
41
Reaction score
21
Klabu ya soka ya Yanga jana jioni wamesafiri kuelekea Misri kwenye mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wapinzani wao Pyramids FC. Yanga imeondoka ikiwa inakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Kelvin na Lamine Moro kwa harakaharaka ni kama yanga inabidi wasafiri na kapu la kubebea magoli maana sioni Yanga anatokea wapi kule Misri.
 
Klabu ya soka ya Yanga jana jioni wamesafiri kuelekea Misri kwenye mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya wapinzani wao Pyramids FC. Yanga imeondoka ikiwa inakosa huduma ya wachezaji wake muhimu Kelvin na Lamine Moro kwa harakaharaka ni kama yanga inabidi wasafiri na kapu la kubebea magoli maana sioni Yanga anatokea wapi kule Misri.
Kapime akili?
 
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Mimi ni nani hata nimpinge mtoa mada.
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Hata Mimi ni nani nimpinge Mtoa Mada
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Mie ni nani hasa nipinge kapu la yanga
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
Hata mimi ni nani nimpinge mtoa mada.
hapo hakuna cha kupinga huo ndo ukweli
 
Back
Top Bottom