Yanga na kwenye hili pia mtamlalamikia Karia?

Yanga na kwenye hili pia mtamlalamikia Karia?

Marefa/ waamuzi wabovu wapo chini ya nani kama sio TFF? Je TFF inaongozwa na nani kama sio karia?

Hayo unayoyataja yapo chini ya Bodi ya Ligi ambayo ina mwenyekiti wake na si TFF as TFF.

Karia hana mamlaka ya kusema goli lililokataliwa uwanjani la Timu yoyote lirudishwe, au goli la Timu fulani lilikuwa Offside hivyo lisihesabiwe.
Wala Karia hana mamlaka ya kusema Refarii fulani kainyanyasa Timu fulani ninamsimamisha asichezeshe tena mpira.
Hayo yote mulitakiwa muyakatie Rufaa na kamati husika isikilize, lakini hakuna Yanga walichofanya zaidi ya kulalamika kwenye Media kwasababu wanajua hawana hoja ya Msingi.

Hivyo mpaka sasa mumeshindwa kuleta hoja Karia anawaonea kivipi?
 
Kwa vile kuna mchezaji wa Yanga ana magoli 7, top scorer inaishia goli 8. Very kind of you people.
Angekuwa na goli 9, top scorer ingeishia 10.
sasa list ishafika wachezaji 11 unataka wawekwe wafike wangapi?huyo wa magoli saba hawezi ongeza ongeza?leo keeper lenu la under 20 enzi hizo liko golini tena saa moja usiku sasa huyo kaseke ahindwe tu kujipigia hat trick
Vipi kuhusu assist je? maana list inaishia kwa dube mwenye assist 5 chama ana 13, viungo wenu shida nini?
 
Hayo unayoyataja yapo chini ya Bodi ya Ligi ambayo ina mwenyekiti wake.

Karia hana mamlaka ya kusema goli lilikataliwa uwanjani la Timu yoyote lirudishwe, au goli la Timu fulani lilikuwa Offside hivyo lisihesabiwe.
Hivyo mpaka sasa umeshindwa kuleta goja Karia anawaonea kivipi?
Kwahiyo unataka kusema TFF haina mamalaka ya kuchuja,. Kuwaandaa, kuwajibisha, marefa bali hayo ni majukumu ya bodi ya ligi? Nilikuwa sijui kama marefa wapo chini ya bodi ya ligi hawasimamiwi na TFF
 
sasa list ishafika wachezaji 11 unataka wawekwe wafike wangapi?huyo wa magoli saba hawezi ongeza ongeza?leo keeper lenu la under 20 enzi hizo liko golini tena saa moja usiku sasa huyo kaseke ahindwe tu kujipigia hat trick
Vipi kuhusu assist je? maana list inaishia kwa dube mwenye assist 5 chama ana 13, viungo wenu shida nini?
Tatizo sio ukubwa wa list bali benchmark iishie wapi.
Benchmark inaweza kuwa wafungaji watatu bora kwa mfano. Haijalishi kama magoli mangapi.

Hii ya goli 8 kaiweka nani kwa kigezo kipi?
 
sasa list ishafika wachezaji 11 unataka wawekwe wafike wangapi?huyo wa magoli saba hawezi ongeza ongeza?leo keeper lenu la under 20 enzi hizo liko golini tena saa moja usiku sasa huyo kaseke ahindwe tu kujipigia hat trick
Vipi kuhusu assist je? maana list inaishia kwa dube mwenye assist 5 chama ana 13, viungo wenu shida nini?
Viungo hawana shida. Hiyo Azam na hizo impressive figures ipo nafasi ya ngapi? Mwisho wa siku ni msimamo wa ligi unaomua nani bora!
Ni kama ball possesion tu. Jana Waydad ka posses sana lakini kama cha nguruwe kwa Kaizer Chiefs!
 
Najua simbwa mnajiona Sana Sana Sana muda si rafiki tena kwenu mtalia mtalia mtalia si muda mrefu
 
Najua simbwa mnajiona Sana Sana Sana muda si rafiki tena kwenu mtalia mtalia mtalia si muda mrefu
kulia kwa ajili gani sababu mnashusha mitambo ya magoli? mwisho wa siku mnajikuta mna wachezaji 12 wapya mnaanza story za tuwape muda watengeneze chemistry
 
Sasa huyo kalia si atoke ili watu tumsilalamikie. Kwanini anag'ang'ania hadi kuogopa ushindani. Kama ameshafanya mazuri kuliko marais wote, kinachomrudisha nini tena kwa kutumia nguvu.
Sema nini mchawi wa Yanga siyo karia, karia anatumwa na yule jamaa wa kule kwenye moshi.
Tunamsubiri siku akichukua fomu ya urasi tumpige nalo hili la kuitesa Yanga miaka 5, Kisa tu eti yeye ni Simba.
Katelephone?
 
Mm ni Simba damu lile goli la Jana ni halali kwa madogo wa yanga maana aliyefunga hakuwa offside.

Ila ujinga ni kwamba aliyefanya lile kosa ni yule mdada mshika kibendera ajabu watu wa yanga wanampa lawama karia ,hapo tu ndio naonaga majitu ya yanga ni mandezi full upimbi bongo zao zimejaa makamasi na vinyesi.

Kila lawama ni kwa mzee wa watu karia ,utafikiri karia yeye ndie anakuwa uwanjan kucheza au kuchezesha mechi ,huu uropokaji wa hovyo hovyo ndio unanifanya kila siku niwaone ni maboya tu ,mpira una pande mbil furaha na maumivu ,kubebwa na kuonewa ,yote haya hutokea uwanjan kwa timu yoyote ile ,matukio mangap yanga amebebwa wazwaz na waamuz ? Ukipata tukio la kubebwa tegemea pia na tukio la kuumuzwa vile vile en waamuz nao ni watu wana mapungufu yao.

Vipi Jana kaizer bila var kutumika si walikuwa wamekataliwa goli lao? Na aliyeamua kuwa sio goli ni kibendera ndio var ikasiadia kutoa sintofaham hiyo ,so Jana madogo wa yanga kilichowanyima goli ni umaskin wa lig yetu kutokuwa na var pengine wangepiga matuta kumpata mshindi .Sasa ndugu zang utopolo kila kitu kwa karia hapo tu ndio mnaniboa sana ,hata aje kindoki awe rais wa tff Kama mna timu mbovu ubingwa hampat maana kila mtu atatakiwa ashinde mechi zake ,dawa ya ubingwa we shinda mechi zako Tena kwa magoli kuanzia mawil au matatu hizi kelele Wala huwez kuwaza
Juu umeanza vizuri mpaka katikati chini kidoogo umebugi. Hapo uliposema kila mtu ashinde mechi zake. Wenye maamuzi wakitaka usishinde utashinda vipi.
 
Hawa jamaa wana malalamiko hadi aibu, kila siku Karia Karia, angalia hata kwenye top scorers wa ligi hawapo hawana hata mchezaji mwenye goli 8,hawa watu wako serious kweli?

Jana kwenye under 20 offside ya wazi goli limekataliwa wanasema TFF na karia wanawaonea.

Kwenye ligi ya wanawake kule mwanza simba kashinda moja kawa bingwa huku wao wameshinda 6-0 za kimagumashi wanalalamikia kipa wa timu pinzani aliyemrukia teke mchezaji wa simba queens na kupewa kadi wakadai simba queens wanapendelewa.

Najaribu kujiuliza kama ule mtama aliopigwa konde boy kwenye penalty box mechi ya simba na alh alhy refa akapeta penalty au ule mkono beki wa kaizer chiefs alioshika kwenye penalty box ingekuwa ni hawa ndugu zangu sijui ingekuwaje, hata wachezaji wa simba wamekuwa very matured siku hizi hapo sisemei mitama miwili alioypigwa morrison ndani ya box kule sumbawanga vs prisons.

Hapa ndo nnapoonaga sometimes mpira na mapenzi vinafanana, yan moyo wa mtu ukishapenda kitu una shut down your intelligence & consciousness. Hii inawatukuta sana wale mashabiki maandazi, yan makosa mengne kumlaum rais wa TFF n dalili mojawapo ya uvivu wa kufikiria. Ukiwa hv utaish kwa tabu sana, makosa ya referee uwanjan, upungufu wa creativity wa team ya yanga na shida ilyopo kwny management yao vyte hvo wanaenda kuvifichia kwa Karia.

wanataka kutuaminisha kuwa wao pekee kwny hii lig ndo wanaonewa, statistics do not lie, ukienda uwanjan uwaangalie jinsi wanavocheza uki compare na simba still there is a huge difference. Na mkiishi kweny hyo dhana kuwa TFF wanawahujum bas hyo itakua n blessing in a disguise kwa simba.
 
Kama kweli unajua mpira huwezi na Jana umeangalia u20 basi tuache ushabiki wa kijinga hata mimi Jana nimeona wameonewa ikumbukwe wale wote ni watoto hupaswi kuwakandamiza imeuma sana kale kadogo kukataliwa goli lile.
acha kulalamika kwa hiyo kisa mtoto ndo apewe goal la offside.
 
Mm ni Simba damu lile goli la Jana ni halali kwa madogo wa yanga maana aliyefunga hakuwa offside.

Ila ujinga ni kwamba aliyefanya lile kosa ni yule mdada mshika kibendera ajabu watu wa yanga wanampa lawama karia ,hapo tu ndio naonaga majitu ya yanga ni mandezi full upimbi bongo zao zimejaa makamasi na vinyesi.

Kila lawama ni kwa mzee wa watu karia ,utafikiri karia yeye ndie anakuwa uwanjan kucheza au kuchezesha mechi ,huu uropokaji wa hovyo hovyo ndio unanifanya kila siku niwaone ni maboya tu ,mpira una pande mbil furaha na maumivu ,kubebwa na kuonewa ,yote haya hutokea uwanjan kwa timu yoyote ile ,matukio mangap yanga amebebwa wazwaz na waamuz ? Ukipata tukio la kubebwa tegemea pia na tukio la kuumuzwa vile vile en waamuz nao ni watu wana mapungufu yao.

Vipi Jana kaizer bila var kutumika si walikuwa wamekataliwa goli lao? Na aliyeamua kuwa sio goli ni kibendera ndio var ikasiadia kutoa sintofaham hiyo ,so Jana madogo wa yanga kilichowanyima goli ni umaskin wa lig yetu kutokuwa na var pengine wangepiga matuta kumpata mshindi .Sasa ndugu zang utopolo kila kitu kwa karia hapo tu ndio mnaniboa sana ,hata aje kindoki awe rais wa tff Kama mna timu mbovu ubingwa hampat maana kila mtu atatakiwa ashinde mechi zake ,dawa ya ubingwa we shinda mechi zako Tena kwa magoli kuanzia mawil au matatu hizi kelele Wala huwez kuwaza
Karia hakwepi lawama waamuzi wapo chini yake mbona ipo wazi
 
Back
Top Bottom