Ta Muganyizi R I P Joined Oct 19, 2010 Posts 5,355 Reaction score 2,736 Feb 5, 2011 #1 Jamani mnaosikiliza game hilo kupitia tbc tujuzeni matokeoooooooo
Ta Muganyizi R I P Joined Oct 19, 2010 Posts 5,355 Reaction score 2,736 Feb 5, 2011 Thread starter #2 Jamani any progress
Nyati JF-Expert Member Joined Mar 6, 2009 Posts 2,521 Reaction score 1,906 Feb 6, 2011 #3 Hapo ndo tatizo waulize yaliyotokea Mail 20000 watakujuza lakini hapa songea hamna kitu
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,651 Feb 6, 2011 #4 0-0 (source:https://www.jamiiforums.com/sports-...anzania-bara-mzunguko-wa-pil-i-uptades-7.html)
C ChiefmTz JF-Expert Member Joined Apr 15, 2008 Posts 2,937 Reaction score 942 Feb 6, 2011 #5 0-0 huku refa akiwanyima Yanga penati dk ya 90 baada ya Mwape kuangushwa kwenye eneo la penalti.
M Mwera JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 964 Reaction score 90 Feb 6, 2011 #6 Yanga watatue mgogoro wao bila hivyo wanaweza mwisho waligi wakawa nafasi ya 8 ktk msimamo waligi,kila kukicha mambo yanaenda mrama.
Yanga watatue mgogoro wao bila hivyo wanaweza mwisho waligi wakawa nafasi ya 8 ktk msimamo waligi,kila kukicha mambo yanaenda mrama.