Hizi timu ni za kawaida sana. Zimekuwa zikifanya makosa mengi sana kwenye michezo yao, kinachowaokoa ni udhaifu wa wapinzani. Sitashangaa hata Yanga ikipoteza mechi hivi karibuni.
Yanga inashinda kiujanja ujanja na kwa kutegemea wachezaji wachache kama vile Feisal na Mayele. Kwa upande wa Simba, pamoja na madhaifu mengine, kuna kaukweli kwenye kauli ya Kocha Pablo kuwa timu haifurukuti inapocheza mechi kubwa.
Yote kwa yote, mwaka huu zote haziko vizuri sana.
Yanga inashinda kiujanja ujanja na kwa kutegemea wachezaji wachache kama vile Feisal na Mayele. Kwa upande wa Simba, pamoja na madhaifu mengine, kuna kaukweli kwenye kauli ya Kocha Pablo kuwa timu haifurukuti inapocheza mechi kubwa.
Yote kwa yote, mwaka huu zote haziko vizuri sana.