Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

Yanga na Simba SC hamtoboi hadi mnisikilize, full stop

Unakaataje goli la Azizi Ki? Clear goal.
 

Attachments

  • 5682167-4b4fb6a42c070f3306c0f595187ea8a.mp4
    3.1 MB
Kwanza nasikitika kuona hata wachambuzi wakubwa kabisa wana mislead watu kuwa eti lile la Aziz K ni goli, tatizo kubwa wa TZ ni kwamba tunaangalia vitu out of professional na mahaba na kubahatisha bahatisha tu; Lile sio goli ukienda kokote, na hata Penalty waliyonyimwa Mamelody angenyimwa Yanga pia tungesema tumeonewa, mpira ni mchezo wa kanuni na wazi.

Refa alikuwa very fair kwa pande zote mbili. Kama mnafuatilia EPL, mipira kama ile huwa inakataliwa sana, tukubali kuwa hata wachambuzi wetu hawajui namna ya kutafsiri kanuni.

Nadhan ndio maana walishauriwa bungeni waende kusomea hiyo kazi

View attachment 2955044
View attachment 2955045
Kama sikosei mwaka Jana, SSC alifika alipfika Yanga, akatolewa kwa Penalty, ni matukio ambayo yanajirudia. TATIZO KUBWA HAPA NI INVESTMENT.

sisi huwa tunaonesha upinzani tu, mwisho wa siku tunarudi kwenye eneo letu

Yanga aliamua kushika Bomba ugenini na nyumbani kote amecheza kwa 28% tu, mpira wa kushika bomba ni bahati nasibu tu na kushika pumbu. Sioni kama Yanga inahitaji pongezi zozote, mambo ya kufa kiume ni useless. Huwezi kupata ushindi kwa kushika bomba tu na kutegemea bahati, style mbaya kabisa inatokana na poor investment. Tunabaki kulaumu kuwa tumeonewa, kwa mpira gani na goli gani ndani ya dakika 90?

Yanga na SSC mnahitaji kufanya investment, achaneni na inshallah inshallah hazisaidii kitu, fanyeni investment, acheni utapeli wa social media na kupoteza muda kwenye branding

mtashangazwa sana mwakani SSC na Yanga zote zikashindwa kufika hata makundi: Yanga na SSC bado sio zile timu kuwa lazima zicheze makundi, hawajafika hizo level . Ili kufika huko , fanyeni investment.

Yanga imetoka kihali japo imeonesha ushindani ; kama Yanga akiongeza investment kidogo tu , naamini mwakani pia atacheza robo Fainal , sisemi kuwa lazima acheze kwa sababu bado sio timu kuwa lazima ivuke makundi kama ilivyo kwa mamelody au ahlyl.

SSC ni timu ambayo imeshakufa na haina dira na wanaamini sna kwenye ushirikina,
Inacheza robo fainal ya 5 bila ya impact yoyote, ni aibu lakini pia nashauri waendelee tu ku invest kwenye social media na UCHAWI, that is what they know best.

Naambiwa kocha wa SSC ameamua kuondoka na sababu kuu ni hapewi nafasi ya kusajili watu anawaamini
Ilikuwa mechi gani hiyo epl
 
Halikuwa goli Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri mpira na kanuni. Endeleza mahaba yako uzuri mifano ya mipira kama hiyo ipo mingi.

Andikeni barua CAF kukata rufaa ; huenda next week tukaingia nusu fainal
Acha kuishi kwa mifano, simamia ya kwako...
 
Investment maana yake investment! Go and search to know investment ya wapi

Sasa wewe umeshika bomba home na aware , what did you get ?

Sina muda wa kubishana na wewe
Imani yako itakuponya
Simba hakushikilia bomba home na alipata nini? Mpira ni mchezo wa mbinu na ufundi ili upate matokeo. Sio kutawala possession ndio kupata matokeo. Kwenye uzi wako sijaona uhusiano wa matokeo ya Yanga dhidi ya uwekezaji kwasababu Yanga walikuwa na kikosi chenye bajeti ya kawaida kabisa na bado wameimudu Mamelodi. Msaada wa Mamelodi ni waamuzi ila Yanga waliingia na mbinu saivi na walipata goli halali kabisa.

Embu iangalie hii video, halafu niambie nguvu za kulikataa goli la Yanga mnalitolea wapi?
 
Kwanza nasikitika kuona hata wachambuzi wakubwa kabisa wana mislead watu kuwa eti lile la Aziz K ni goli, tatizo kubwa wa TZ ni kwamba tunaangalia vitu out of professional na mahaba na kubahatisha bahatisha tu; Lile sio goli ukienda kokote, na hata Penalty waliyonyimwa Mamelody angenyimwa Yanga pia tungesema tumeonewa, mpira ni mchezo wa kanuni na wazi.

Refa alikuwa very fair kwa pande zote mbili. Kama mnafuatilia EPL, mipira kama ile huwa inakataliwa sana, tukubali kuwa hata wachambuzi wetu hawajui namna ya kutafsiri kanuni.

Nadhan ndio maana walishauriwa bungeni waende kusomea hiyo kazi

View attachment 2955044
View attachment 2955045
Kama sikosei mwaka Jana, SSC alifika alipfika Yanga, akatolewa kwa Penalty, ni matukio ambayo yanajirudia. TATIZO KUBWA HAPA NI INVESTMENT.

sisi huwa tunaonesha upinzani tu, mwisho wa siku tunarudi kwenye eneo letu

Yanga aliamua kushika Bomba ugenini na nyumbani kote amecheza kwa 28% tu, mpira wa kushika bomba ni bahati nasibu tu na kushika pumbu. Sioni kama Yanga inahitaji pongezi zozote, mambo ya kufa kiume ni useless. Huwezi kupata ushindi kwa kushika bomba tu na kutegemea bahati, style mbaya kabisa inatokana na poor investment. Tunabaki kulaumu kuwa tumeonewa, kwa mpira gani na goli gani ndani ya dakika 90?

Yanga na SSC mnahitaji kufanya investment, achaneni na inshallah inshallah hazisaidii kitu, fanyeni investment, acheni utapeli wa social media na kupoteza muda kwenye branding

mtashangazwa sana mwakani SSC na Yanga zote zikashindwa kufika hata makundi: Yanga na SSC bado sio zile timu kuwa lazima zicheze makundi, hawajafika hizo level . Ili kufika huko , fanyeni investment.

Yanga imetoka kihali japo imeonesha ushindani ; kama Yanga akiongeza investment kidogo tu , naamini mwakani pia atacheza robo Fainal , sisemi kuwa lazima acheze kwa sababu bado sio timu kuwa lazima ivuke makundi kama ilivyo kwa mamelody au ahlyl.

SSC ni timu ambayo imeshakufa na haina dira na wanaamini sna kwenye ushirikina,
Inacheza robo fainal ya 5 bila ya impact yoyote, ni aibu lakini pia nashauri waendelee tu ku invest kwenye social media na UCHAWI, that is what they know best.

Naambiwa kocha wa SSC ameamua kuondoka na sababu kuu ni hapewi nafasi ya kusajili watu anawaamini
Weka VAR ya hilo goli la Yanga lililokataliwa ili tujiridhishe, badala ya hizo VAR zenu za Uingereza.

Halafu unaweza kutuambia ni kwa nini mwamuzi hakwenda kujiridhisha kwenye VAR ya uwanjani kama kweli mpira ulivuka mstari, au la?
 
Weka VAR ya hilo goli la Yanga lililokataliwa ili tujiridhishe, badala ya hizo VAR zenu za Uingereza.

Halafu unaweza kutuambia ni kwa nini mwamuzi hakwenda kujiridhisha kwenye VAR ya uwanjani kama kweli mpira ulivuka mstari, au la?

Kwanini
Hamkutuliza akili kwenye penalty

Ki sehemu ya ushindi pia

Tafuta hilo footage uangalie

Hata ukiendaaa FIFA lile sio goli. Ili liwe goli mpira hautakiwi kuwa between the line , for as long as mpira umegusa the white line , hilo sio goli, at any point kama mpira umegusa line na kutoka nje , hilo sio goli

Nenda kokote, you will get the same answers

But kuwa kwako subjective ndio kunakupa denial
 
Simba hakushikilia bomba home na alipata nini? Mpira ni mchezo wa mbinu na ufundi ili upate matokeo. Sio kutawala possession ndio kupata matokeo. Kwenye uzi wako sijaona uhusiano wa matokeo ya Yanga dhidi ya uwekezaji kwasababu Yanga walikuwa na kikosi chenye bajeti ya kawaida kabisa na bado wameimudu Mamelodi. Msaada wa Mamelodi ni waamuzi ila Yanga waliingia na mbinu saivi na walipata goli halali kabisa.

Embu iangalie hii video, halafu niambie nguvu za kulikataa goli la Yanga mnalitolea wapi? View attachment 2955398

Goli ni halali kwa muktadha wa kanuni za akili za mashabiki, goli sio halali kwa muktadha wa kanuni za CAF na FIFA

kama utabisha kapigane na Jiwe
 
Goli ni halali kwa muktadha wa kanuni za akili za mashabiki, goli sio halali kwa muktadha wa kanuni za CAF na FIFA

kama utabisha kapigane na Jiwe
Haya sasa uje hapa ulijadili hapa kwa mujibu wa kanuni.
Kanuni inasemaje ili hilo lisiwe ni goli halali?
 
Haya sasa uje hapa ulijadili hapa kwa mujibu wa kanuni.
Kanuni inasemaje ili hilo lisiwe ni goli halali?

People believe what they wanna believe

Imani yako itakuponya

Mnae Captain, did he push for referee kucheck VAR, refa aliridhika kuwa lile sio goli na akafanya mawasiliano na VAR kuwa sio goli

Kama mlikuwa na doubt , Mwamnyeto was supposed to request refa aende kujiridhisha, what did he do ,

Fanyeni investment maana mwakani tunaweza kuishia makundi

Kw sisi kufika robo is also a lucky sio
Uwezo
 
People believe what they wanna believe

Imani yako itakuponya

Mnae Captain, did he push for referee kucheck VAR, refa aliridhika kuwa lile sio goli na akafanya mawasiliano na VAR kuwa sio goli

Kama mlikuwa na doubt , Mwamnyeto was supposed to request refa aende kujiridhisha, what did he do ,

Fanyeni investment maana mwakani tunaweza kuishia makundi

Kw sisi kufika robo is also a lucky sio
Uwezo
Ulitaka tujadiliane sheria na kanuni sasa vipi unakuja na ngonjera za kumzonga mwamuzi na mambo ya imani? Kuwa smart kwenye mijadala, kama tunaamua kujadili kanuni basi uje na kanuni hapa ni vipi lile halikupaswa kuwa goli.
 
Ulitaka tujadiliane sheria na kanuni sasa vipi unakuja na ngonjera za kumzonga mwamuzi na mambo ya imani? Kuwa smart kwenye mijadala, kama tunaamua kujadili kanuni basi uje na kanuni hapa ni vipi lile halikupaswa kuwa goli.

Kanuni nimepost juu

Jadili
 
Mimi sio mshabiki kama wewe

Mm ni mwanasoka. Na mpira wetu ni kubahatisha na mwakani hata makundi tunaweza tusitoboe
Fanyeni investment
Maisha ya mpira sio rahisi hivo
Shabiki sio mwanasoka??
Kutokua shabiki hakufanyi uwe sahih, sawa.

Investment imefanywa, mafanikio ndo hayo uyaonayo, timu inafika mpaka fainali ya shirikisho, timu zinafika robo fainali huku zikipambana na giants wa Africa.
Hapo bado hujaongelea jinsi timu zilivyoanda kwenye rank za kimataifa.
 
Ndani ya dakika 90 mnasubiri goli la kushika pumbu, acheni uzwazwa, kama mnajua kanuni kachezesheni nyie
Mpira wenyewe mnacheza kwa asilimia 23, mngefunguka tuone pasi za mamelody

Yaani ni worst type of playing
Makolo nayo yameshapasuka na kama kawaida yao yamekufa kiume
Khaa is that a reason kwamba halikuwa goal kwasababu Possession ni 23% Aisee sababu hazina mashiko mkuu, kufunguka ili iweje wakati unatakiwa kutumia mbinu
 
Khaa is that a reason kwamba halikuwa goal kwasababu Possession ni 23% Aisee sababu hazina mashiko mkuu, kufunguka ili iweje wakati unatakiwa kutumia mbinu

Mangi
 
Lile ni goli safi kabisa na uhitaji VAR ku ng'amua kama nigoli, ila kwakua limekataliwa hakuna namna.
Mpira wa ki Afrika hasa katika ngazi ya vilabu Kuna upuuzi mwingi.

Frenk Lampard aliwatungua Germany bao kamailo likasababisha ije VAR, Leo Aziz K anafunga kwa stil ileile ya Lampard VAR Ina kataa.

Bora tuludi kulekule kwakina tatu Malogo tujue ni makosa ya kibinadamu.
Bila kumsahau Arajiga
 
Back
Top Bottom