fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hebu viongozi wakutane mfanye haya:
1. Mshirikiane mjenge viwanja vyenu
2. Muanzishe vitega uchumu kuwaingizia kipato
3. Wanunulieni wachezaji wenu na benchi la ufundi magari na kuwajengea nyumba
4. Anzisheni kliniki za kuwatibu wachezaji wenu
5. Jengeni makanisa na misikiti kwa ajili ya familia za viongozi,wachezaji,makocha na majirani zenu
6. Mshirikiane mnunue ndege zenu kurahisidha usafiri
7. Ushindani wenu uwe uwanjani tu kwingine mbaki marafiki
1. Mshirikiane mjenge viwanja vyenu
2. Muanzishe vitega uchumu kuwaingizia kipato
3. Wanunulieni wachezaji wenu na benchi la ufundi magari na kuwajengea nyumba
4. Anzisheni kliniki za kuwatibu wachezaji wenu
5. Jengeni makanisa na misikiti kwa ajili ya familia za viongozi,wachezaji,makocha na majirani zenu
6. Mshirikiane mnunue ndege zenu kurahisidha usafiri
7. Ushindani wenu uwe uwanjani tu kwingine mbaki marafiki