School fiz
Member
- Mar 24, 2018
- 42
- 36
Kama wewe n mfatiliaji mzuri wa mpira wa miguu utakubaliana na mimi kwamba timu tajwa hapo juu ndio znaongoza kwa mashabik hapa tanzania....tupeane mawazo ilikuaje wao tu na hakuna upinzan mwingine uliotokea hapa tanzania katika mpira wa miguu kwa wanaume