kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
USM Alger hawana mpira wa kuwafunga yanga
Nimecheki game Yao Leo na asec mimosa
Nafikiri asec mimosa wangekuwa Na washambuluaji wenye speed kama fiston mayele , kisinda Na wengine basi Hawa waarabu wangelala leo
Na wakicheza mpira ule Na yanga basi watalala nje ndani
Washambuluaji wa yanga sio wa wakuachiwa mabeki watatu au wawili nyuma wengine wanaenda kushambulia watakuwa wamejimaliza
Siri ya kucheza Na yanga ni kupaki tu
Al Hilal walituweza kwao kwasababu walijaza mabeki wengi nyuma
Nimecheki game Yao Leo na asec mimosa
Nafikiri asec mimosa wangekuwa Na washambuluaji wenye speed kama fiston mayele , kisinda Na wengine basi Hawa waarabu wangelala leo
Na wakicheza mpira ule Na yanga basi watalala nje ndani
Washambuluaji wa yanga sio wa wakuachiwa mabeki watatu au wawili nyuma wengine wanaenda kushambulia watakuwa wamejimaliza
Siri ya kucheza Na yanga ni kupaki tu
Al Hilal walituweza kwao kwasababu walijaza mabeki wengi nyuma