Yanga Na USM Alger

Inaelekea hufatilii soka la afrika, mbona ndio maisha yetu siku zote, walibadilisha miaka miwili wakaweka fainali moja yakawashinda
Ni ngumu kufuatilia mifumo isiyokuwa consistent.. mwakani wanaweza kubadilisha gia angani.
 
Ni sahihi hamna timu oale hata mimi nawapa Yanga ubingwa. Jamaa ni wa kawaida sana sawa na Namungo tu sema wao ni waarabu. Nimeangalia mechi zao zote mbili zidi ya Asec, wa kawaida sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni sahihi hamna timu oale hata mimi nawapa Yanga ubingwa. Jamaa ni wa kawaida sana sawa na Namungo tu sema wao ni waarabu. Nimeangalia mechi zao zote mbili zidi ya Asec, wa kawaida sana.
unasemaaje wewe uto?
 
Haya njoo hapa we chura ujibu tena.
Tukiwambia mnakua wachungu kama shubiri.
Hata goli la yanga la Jana ni limetoka Kwa yule yule injin ya timu.
Yanga ni timu ya kawaida sana inabebwa na kaupepo fulan Kwa huu msimu na wao wameamua kutembelea hako kaupepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…