Nikiri huu ndio ujinga wa mpira wa kitanzania kuonyesha kuhamgaika sanakisa simba wana heza na yanga tu! Hii ndio sababu zikija timu za nje ni kufungwa kwa kwenda mbele. Maandalizi ya timu kubwa kama hizi yanafanyika pale tu zinzpokutana huu ni ujinga unaoendelea kuua viwango vya soka Tanzania.