Yanga na Wydad are useless teams upfront

Yanga na Wydad are useless teams upfront

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje . Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack . I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Kabla ya kuvuta bange kumbuka kula.
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Waydad kishampasua 5imba/Kolo FC.
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Kwani hao Makolo wamefunga magoli mangapi hadi sasa? Ti
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Vipi kuhusu timu yako imeweza kufunga magoli mangapi hadi sasa?
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Ijumuishe na 5imba.
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
sasa kuandika tu shida,huo ujuzi wa ukocha utaweza kweli?awana ndio nini?
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Haaahaaa!!! Makolo bhana, huyo useless team mmemfunga ngapi jana nyie useful KOLO
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
Wakati nasoma ulichoandika, nilipokutana na AWANA (hawana) na AMNA (hamna), nikaona huyu mbumbumbu FC hana analolijua..!!
 
i watched the 2 games. Makocha wa hizi team wote Awana objective football . Useless in attack . Kama wanashinda watoa nje .

Kwa yanga it’s worse than wydad . Yanga amna kitu wanaweza useless team in this champions league . Very disorganized attack. I believe watatoka wa Mwisho kwenye magroup Yao .
I watched the 2 games.....
Nikasema kuchambua mpira Tanzania ni Dr Mpango tu ndo sijawahi kumsikia, lakini hata Kinana anaweza.
 
Asante sana mwenyekiti wa wachambuzi wa ovyo Tanzania. (WAOTA)kwa kuwakilisha wenzio
 
Back
Top Bottom